Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naam leo ndo leo ndani ya Mkwakwani Tanga baada ya wananchi kutoka kumpiga mtani wao goli 5 leo wanakutana na Coastal union je, watoto wa Tanga watakubali kupigwa 5?
Kikosi cha Yanga
Mchezo umeanza
Kikosi cha Yanga