Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #41
🤣🤣🤣🤣Leo nipo Coastal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Leo nipo Coastal
Kabisa ila leo kocha ataweka wachezaji wazuriHayo makosa ya kupumzisha watu yalitugharimu kwa ihefu anzisha winning team akiwamudu na unaongoza goli tatu pumzisha watatu hizi game za mkoani ukitaka kupumzisha unaeza ambulia sare au ukachapwa bora ungekuwa dar
Sasa huyo kibwana wa nini aisee..Hizi ndio mechi za kufanyia rotation wachezaji wetu ngoma ikiwa ngumu tunaingiza full mkoko.
Ndugu zetu makolo hawanaga rotation kabisa 11st yao ni ile ile
Mechi 8 tu, rotation ya ninYakitokea ya ihefu atutaki kelele haya fanyeni rotesheni
Kuna wiki mbili za kupumzika baada ya hii mechi..Hapana, morali ya timu iko juu sasa hivi. Kumbuka pia tunaelekea kwenye mechi ngumu za makundi, huwezi kurisk kuchezesha mapro kwenye mechi nyepesi.
Huyu Mangungu ana uhusiano na Mangungo?All the best wananchi.
Yanga ina viongozi Bora na wenye maono engineer
Simba ina viongozi vialaza na wapumbavu akina Mangungu.
Halafu usisahau COASTAL ni SIMBA B kwahyo asije akashangaa Droo au anachapwaNaam leo ndo leo ndani ya Mkwakwani Tanga baada ya wananchi kutoka kumpiga mtani wao goli 5 leo wanakutana na Coastal union je, watoto wa Tanga watakubali kupigwa 5?
View attachment 2807376
🤣🤣🤣🤣Mnavyojikuta mnaongea kiufundi utadhani basi timu yenu ni manchester city
Yaani kutufunga basi kila mmoja ni kocha na mkaa benchi la ufundi .
Anyway kila kheri bwana huko mkwakwani yeyote ashinde tu maana hata nikisema mpigwe sio rahisi kihivyo .
Mkuu leo tujikite na hawa wagosi wa kaya kwanza... Achana na hao wafukuza upepo
Kazi ya kibwana muulize nasredine nabiSasa huyo kibwana wa nini aisee..
MTU anaitwa mangungu utashi na weredi Bora wa kimaono,,mitazamo na kifikra ya Kiongozi Haswa huu wa ulimwengu wa kasimatautoa wapi?? waachie akili mpya zifanye haya mambo,,wao wabaki kutema dua Tu na mibaraka Kwa vijana wao,,Hakuna kitu kizurr kama kujitambua na kujaaliwa Hekima na busara ya kuishi Kwa kuheshimu,,kutukuza na kujali Nyakati!!All the best wananchi.
Yanga ina viongozi Bora na wenye maono engineer
Simba ina viongozi vialaza na wapumbavu akina Mangungu.
Kabisa ila watapigwa nyingiHili tawi la simba leo watatukamia sana kwakua tumemfunga mama yao watakua na hasira sana , tutegemee rafu nyingi sana tena za hatari za kuwaumiza wachezaji wetu tegemezi
Mbona mmeanza kutubu mapema sana hata round ya kwanza haijaisha?All the best wananchi.
Yanga ina viongozi Bora na wenye maono engineer
Simba ina viongozi vialaza na wapumbavu akina Mangungu.