Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kumbe ana huu ana huuu ana ushamba...Simba kaingiaje hapa Au mnawashwa washwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ana huu ana huuu ana ushamba...Simba kaingiaje hapa Au mnawashwa washwa.
Muda?Naam leo ndo leo ndani ya Mkwakwani Tanga baada ya wananchi kutoka kumpiga mtani wao goli 5 leo wanakutana na Coastal union je, watoto wa Tanga watakubali kupigwa 5?
View attachment 2807376
Saa 12 na 30 jioniMuda?
Ubarikiwe kijanaSaa 12 na 30 jioni
Hapa bongo anatuweza Ihefu tu nyie wengine ni mwendo wa [emoji2393][emoji687][emoji2772]Pigweni Utopolo mpk mchakae....hata 1 tuu litawachakaza vibaya...
Tulieni tulieniiiii... Yangaa babalenuuuuLeo sio Nov 5 dear.
Lishike hili neno.
Nyuma hapanaaaa!Nyuma nini vilee..
Nakusalimu
Hii ndiyo rotation tunayoitaka Wanayanga. Unabadilisha wachezaji wachache kwenye kikosi cha kwanza, halafu wengine wanaingia kipindi cha pili.