uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Wamekumbuka?Nawakumbusha tu Dak ya 5 msisahau kupunga [emoji2772][emoji2772]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekumbuka?Nawakumbusha tu Dak ya 5 msisahau kupunga [emoji2772][emoji2772]
WamerogaUwanja una giza
Ona mpaka sasa hawana goli na kikosi kipanaPira rushwa leo mpo uwanjani
Acheni kutoa rushwaaa yanga fc Ina mambo ya ovyoooo
Simba inahusikaje tena?Hawa mods bana ,mechi za simba dakika 10 au 15 kabla ya mechi kuanza tayari wanakua washaweka kava la live. Nyie 1-5 tuwekeeni hilo jezi la simba hapo juu
Itakuwa bado wanaugulia maumivu. 😂Hawa mods bana ,mechi za simba dakika 10 au 15 kabla ya mechi kuanza tayari wanakua washaweka kava la live. Nyie 1-5 tuwekeeni hilo jezi la simba hapo juu
Itakuwa bado wanaugulia maumivu. 😂
Simba inahusikaje tena?
Bado wanahasira na zile 🖐🏾Hawa mods bana ,mechi za simba dakika 10 au 15 kabla ya mechi kuanza tayari wanakua washaweka kava la live. Nyie 1-5 tuwekeeni hilo jezi la simba hapo juu
AiseeSi jezi yake ni sare na live bagde
ngapi ngapi?Enock Mayala kafanyq madhambi hajapewa yellow card, lakini mudathir wamempa yellow card kwa uonevu😒
Bila bilangapi ngapi?