MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Simba kaingiaje hapa Au mnawashwa washwa.All the best wananchi.
Yanga ina viongozi Bora na wenye maono engineer
Simba ina viongozi vialaza na wapumbavu akina Mangungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba kaingiaje hapa Au mnawashwa washwa.All the best wananchi.
Yanga ina viongozi Bora na wenye maono engineer
Simba ina viongozi vialaza na wapumbavu akina Mangungu.
Nikutumia rungu kumpiga mbu aliyetua kwenye mboni ya jichoKwani hizi thread zina nini siku hizi jamani hadi watu mnawahi kuzipost saa sita ya usiku?
Hizi ndio mechi za kuwachezesha Metacha, Kibwana, Fredy, Mauya, Sureboy, Konkoni, Moloko,Skudu hata Musonda maana hana msaada wowote first eleven.
Wazee wa kazi wapumzike, huwezi kumuanzisha Profesa Pacome Vs Coastal ni uonevu na unyanyasaji.
Mechi inachezwa saa ngapi Chifu?Naam leo ndo leo ndani ya Mkwakwani Tanga baada ya wananchi kutoka kumpiga mtani wao goli 5 leo wanakutana na Coastal union je, watoto wa Tanga watakubali kupigwa 5?
View attachment 2807376
Saa 12 na 30 jioni
Mkuu simba sc naye anafadhiliwa na gsm maana yeye kafa goli 55G Inajirudia tena na leo.
Coastal na Yanga zote zinafadhiliwa na GSM. Hamna ushindani hapa
nakazia, the winning team never change, normally fanya sub baada ya uhakika wa ushindiHapana "dont change the winning team" weka full mkoko pata matokeo pumzisha watu
Hilo kosa lilifanyika kwenye game ya IHEFU ni kosa la jinai
Nyuma nini vilee..Kam kauwaaa Tunatembeza kichapo tu!
Daima mbele [emoji169][emoji123]
Leo sio Nov 5 dear.Kam kauwaaa Tunatembeza kichapo tu!
Daima mbele 💛💪
Nakazia
Uto sio team ya kushinda kila mechiKila laheri wagosi, chukueni hizo point 3 za hao Uto... kama Ihefu.