Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mkuu leo tujikite na hawa wagosi wa kaya kwanza... Achana na hao wafukuza upepoAll the best wananchi.
Yanga ina viongozi Bora na wenye maono engineer
Simba ina viongozi vialaza na wapumbavu akina Mangungu.
Mchezo mwengine huu wakufanya tuendelee kubaki kileleni...Naam leo ndo leo ndani ya Mkwakwani Tanga baada ya wananchi kutoka kumpiga mtani wao goli 5 leo wanakutana na Coastal union je, watoto wa Tanga watakubali kupigwa 5?
View attachment 2807376
Yakitokea ya ihefu atutaki kelele haya fanyeni rotesheniHizi ndio mechi za kufanyia rotation wachezaji wetu ngoma ikiwa ngumu tunaingiza full mkoko.
Ndugu zetu makolo hawanaga rotation kabisa 11st yao ni ile ile
Ulitaka kila mechi tushinde? Ilo la kushinda kila mechi tunawaachia ndugu zetu simbaYakitokea ya ihefu atutaki kelele haya fanyeni rotesheni
Kila la heri MangushiNaam leo ndo leo ndani ya Mkwakwani Tanga baada ya wananchi kutoka kumpiga mtani wao goli 5 leo wanakutana na Coastal union je, watoto wa Tanga watakubali kupigwa 5?
View attachment 2807376
Kocha asipange hivyo atakosea kama alivyokosea na ihefu 😥😭😭Kwani hizi thread zina nini siku hizi jamani hadi watu mnawahi kuzipost saa sita ya usiku?
Hizi ndio mechi za kuwachezesha Metacha, Kibwana, Fredy, Mauya, Ngushi, Konkoni, Moloko hata Musonda maana hana msaada wowote first eleven.
Wazee wa kazi wapumzike, huwezi kumuanzisha Profesa Pacome Vs Coastal ni uonevu na unyanyasaji.
Huo uwanja una maajabu yake wala usiingie na matokeo yako uwanjani 1 kwa 1, "mpira hauna mwenyewe"Hizi ndio mechi za kufanyia rotation wachezaji wetu ngoma ikiwa ngumu tunaingiza full mkoko.
Ndugu zetu makolo hawanaga rotation kabisa 11st yao ni ile ile
Hapana, morali ya timu iko juu sasa hivi. Kumbuka pia tunaelekea kwenye mechi ngumu za makundi, huwezi kurisk kuchezesha mapro kwenye mechi nyepesi.Kocha asipange hivyo atakosea kama alivyokosea na ihefu 😥😭😭
Watu hawaelewi kabisa kuwa yeyote anayeshiriki NBC PL ni mpinzani tena si wa mchezo mchezo, ni heri ukaanza full mziki kisha wakatolewa mapema baada ya kupatikana kwa matokeo mazuri ya uhakika eg; 3-0 dakika 60 za mpira.Kocha asipange hivyo atakosea kama alivyokosea na ihefu [emoji26][emoji24][emoji24]
Nashauri rotation ifanywe baada ya kupata matokeo yasitukite ya Mbalali na kutuaribia sikuHizi ndio mechi za kufanyia rotation wachezaji wetu ngoma ikiwa ngumu tunaingiza full mkoko.
Ndugu zetu makolo hawanaga rotation kabisa 11st yao ni ile ile
Makolokolo SC fans yanauzum huu mchezo tukiyakanyaga tu yabonyeze kitufe cha maneno ya dhihaka kama Ihefu vile [emoji119][emoji1]Nashauri rotation ifanywe baada ya kupata matokeo yasitukite ya Mbalali na kutuaribia siku