FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

Huyo Mo anaelia kila.msimu anapata hasara tena kipindi klabu iko na upepo wa kufuzu robo fainali club bingwa akijua fungu likiingia litaenda kwake kwa vile anapata hasara kuendesha club?
Wapo matajiri zaidi ya Mo
Najuta kati ya watu tuliofanya kampeni ya Mo aichukue simba na mimi nilikuwa moja wapo heri yule mzee wa azam tungempa timu sio huyu bahili
Sawa humtaki, Sawa hafai, then? Yupi ni bora zaidi na yupo tayari?
 
Leo 09.03.2024

Muda wa Saa 12 Jioni.

Coastal Union ya Tanga, Inaikaribisha Simba SC ya Dar es salaam katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara.

Simba huu ni mchezo wake wa 17, ikiwa na Alama 36. Nafasi ya Tatu(03) katika msimamo.

Coastal Union huu ni mchezo wake wa 20, Alama 27, Nafasi ya Nne katika Msimamo.

Tukutane Baadae kwa Updates.

#nguvumoja#.
Kikosi cha Simba Kitakachoanza.

Kikosi Cha Coast Union.
NB: huu mchezo ni muhimu sana Simba kushinda.

Updates...

Dakika 6'
Inapigwa kick kali, Lackred anapangua.
Inakuwa kona.
Wanapiga kona Coast haileti madhara

Dakika ya 10'
Simba wanapata kona, anapiga Chama C.
Gooooooal Freddy anaipatia Simba goli lakuongoza.
Bonge la Goal....
Goooooal....

Dakika 15'
Coastal Wanapata kona hapa.
Inapigwa haileti madhara yoyote.

Dakika 24'
Lukasi Kikoti anaipatia Coastal Union goli la kusawazisha, Kupitia free kick.
1-1

45'
Nyongeza ni 4'

HT
1-1

60'
Coastal wanapata Kona .
Inatoka nje, inakuwa goal kick.

Sub Simba.
Babakar Sarr OUT
Mzamiru Inn
Miquisonne Out
Kibu D Inn.
Freddy Out
Jobe Inn

Dakika 70'
Sub Kwa Simba.
Saidoo Out
Onana Inn.

72'
Goooooooooooal Onana...
Chuma ya pili kwa Simba.
1-2.

90'
Nyongeza ni 8'

FT
Coastal Union 1- 2 Simba.
View attachment 2929706

Point 3 muhimu!!
Hongereni..
Haikuwa Rahisi..
 
MO atoke halafu tuone kama hawajajitokeza wawekezaji wazuri kuliko yeye.
Wanachama tunaweza kulisha Club? Kwa muda gani? Ili tujue tunaweza msubiri kwa muda gani. Mfano tukisema tutaje watu wa5 tu ambao wanaweza kuwa interested unaweza kuja na majina?
 
Weka mbadala wa Mo hapa. Aondoke Mo aje nani? Uchungu wa maneno matupu hauna maana, toa mbadala wa Mo.
Waambie uongozi utangaze wanahitaji wawekezaji wengine Kama hawatajitokeza.
Hivi ushaona mfanyabiashara anapata hasara halafu anaendelea na biashara hiyohiyo.
Simba jezi yake imejaa matangazo yake, mpaka klabu bingwa makundi kaweza matangazo yake hasemi analipa shilingi ngapi, Azam walipotaka kuidhamini Simba kwa bilioni 41 kwa miaka 10 alikataa akasema brand ya Simba ni kubwa lakini yanga waliokubali tukienda kununua wachezaji wanatupiga bao yeye anadajili kina sawadogo au Fredy halafu anadanganya Ayoun kamnunua bilioni 3, kwa kifupi yeye ndio namba moja kuidifimiza Simba .
Nataka nikukumbushe kauli zake kabla hhauziwa hisa
Nataka Simba iwe Kama Al ahly au mazembe wote hao hatujawakaribia hata nusu.
Simba inauza wachezaji wazuri nikiingia sitakubali, Ila tangia ameingia wameuzwa konde boy, chama ambao wamerudi bwalya na sacho. Uliniambia walikuwa Bei gani hao wachezaji nitaacha kukubishia.
 
Back
Top Bottom