Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #201
Wewe si umesema hawajaaanza unapinga hoja yakoMpira ni kanuni na mfumo ndio kanuni yenyewe
Unawacheka Cr Belouzidad kwa kuanza na beki wa 4 wakato hata nyie mmeanza na beki wa nne
Na tena kwa uoga zaidi eneo la defence midfielders mmeweka watu wanne