Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #181
Hizi tano wewe ulishanyukwa sana na Simba na zile 6-0 za 1977 hadi mwisho wa dunia kuzirudisha ni ndoto!
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi tano wewe ulishanyukwa sana na Simba na zile 6-0 za 1977 hadi mwisho wa dunia kuzirudisha ni ndoto!
Gamondi 4-4-2.Likewise to Gamondi.
Bacca, Job, Lomalisa, Yao.
Hao ni mabeki mzee
Dakika zinayoyomaThubutuuuu!!
Huo Mwaka 1938.
Ndio mfumo wake.Kwa nini anaogopa wakati anacheza nyumbani
Unataka kumaanisha nini?Kocha wa CR Belouizdad kaanza na beki wa 4🤣🤣🤣😁😁
Una uhakikaHuo Mwaka 1938.
Hakuna timu ya jina Simba hapa Tanganyika
Unafata mifumo ?Unataka kumaanisha nini?
Kwamba wanajilinda zaidi kwa kuwaogopa nyie?
Umeangalia formation ya Gamond aliyoingia nayo kwenye mechi ya leo?
Cr Belouzidad wanaingia na mfumo wa 4-2-3-1 wakati nyie mna 4-4-2
Kwa mfumo huo kati ya Cr Belouzidad na Yanga nani ambaye ana defense?
Na kwa kuongezea BBC swahili haikuwepoHuo Mwaka 1938.
Hakuna timu ya jina Simba hapa Tanganyika
Hakuna Mechi Rahisi Kama Hii Hawa Watu Ni Wagumu Ila Pacome, Ki & Max Watalainiaha Sana Hii Game.Unataka kumaanisha nini?
Kwamba wanajilinda zaidi kwa kuwaogopa nyie?
Umeangalia formation ya Gamond aliyoingia nayo kwenye mechi ya leo?
Cr Belouzidad wanaingia na mfumo wa 4-2-3-1 wakati nyie mna 4-4-2
Kwa mfumo huo kati ya Cr Belouzidad na Yanga nani ambaye ana defense?
Anachomesha naona kocha kashtuka kamweka benchiWakuu, naona kama marking ya Bakari Nondo kuna namna imepungua, sio kisiki kama msimu uliopita na mwanzoni kwa msimu huu.
Ile mechi ya Stars kulikuwa na makosa yake mengi tu, nimepata hofu juu yake sana na ni moja kati ya wachezaji wangu pendwa pale kikosini.
Au ni wasiwasi wangu tu?
Mpira ni kanuni na mfumo ndio kanuni yenyeweUnafata mifumo ?
Mbele wameweka mshambuliaji mmojaUnataka kumaanisha nini?
Kwamba wanajilinda zaidi kwa kuwaogopa nyie?
Umeangalia formation ya Gamond aliyoingia nayo kwenye mechi ya leo?
Cr Belouzidad wanaingia na mfumo wa 4-2-3-1 wakati nyie mna 4-4-2
Kwa mfumo huo kati ya Cr Belouzidad na Yanga nani ambaye ana defense?
Labda injury au ameathirika na usafiri kutoka kwao MaliGolini kuna Metacha,
Diara hata sub hayupo.
Mkuu update lineups tayari
Sent using Jamii Forums mobile app