FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Hizi tano wewe ulishanyukwa sana na Simba na zile 6-0 za 1977 hadi mwisho wa dunia kuzirudisha ni ndoto!
download.jpeg

Sawa
 
Kocha wa CR Belouizdad kaanza na beki wa 4🤣🤣🤣😁😁
Unataka kumaanisha nini?

Kwamba wanajilinda zaidi kwa kuwaogopa nyie?

Umeangalia formation ya Gamond aliyoingia nayo kwenye mechi ya leo?

Cr Belouzidad wanaingia na mfumo wa 4-2-3-1 wakati nyie mna 4-4-2

Kwa mfumo huo kati ya Cr Belouzidad na Yanga nani ambaye ana defense?
 
Unataka kumaanisha nini?

Kwamba wanajilinda zaidi kwa kuwaogopa nyie?

Umeangalia formation ya Gamond aliyoingia nayo kwenye mechi ya leo?

Cr Belouzidad wanaingia na mfumo wa 4-2-3-1 wakati nyie mna 4-4-2

Kwa mfumo huo kati ya Cr Belouzidad na Yanga nani ambaye ana defense?
Unafata mifumo ?
 
Unataka kumaanisha nini?

Kwamba wanajilinda zaidi kwa kuwaogopa nyie?

Umeangalia formation ya Gamond aliyoingia nayo kwenye mechi ya leo?

Cr Belouzidad wanaingia na mfumo wa 4-2-3-1 wakati nyie mna 4-4-2

Kwa mfumo huo kati ya Cr Belouzidad na Yanga nani ambaye ana defense?
Hakuna Mechi Rahisi Kama Hii Hawa Watu Ni Wagumu Ila Pacome, Ki & Max Watalainiaha Sana Hii Game.

Musonda Has More Change To 2+ Goal.

Mark My Words.
 
Wakuu, naona kama marking ya Bakari Nondo kuna namna imepungua, sio kisiki kama msimu uliopita na mwanzoni kwa msimu huu.

Ile mechi ya Stars kulikuwa na makosa yake mengi tu, nimepata hofu juu yake sana na ni moja kati ya wachezaji wangu pendwa pale kikosini.

Au ni wasiwasi wangu tu?
Anachomesha naona kocha kashtuka kamweka benchi
 
1700851620641.png


Naamini Metacha Mnata atafanya kazi nzuri ya kulinda lango ingawa ningependa Djigui Diarra ndiye awepo pale golini kuwakumbusha aliavyowakatalia penalty, jambo ambalo lina pyschological effect kwa washambulia wa Belouizdada
 
Unafata mifumo ?
Mpira ni kanuni na mfumo ndio kanuni yenyewe

Unawacheka Cr Belouzidad kwa kuanza na beki wa 4 wakato hata nyie mmeanza na beki wa nne

Na tena kwa uoga zaidi eneo la defence midfielders mmeweka watu wanne
 
Unataka kumaanisha nini?

Kwamba wanajilinda zaidi kwa kuwaogopa nyie?

Umeangalia formation ya Gamond aliyoingia nayo kwenye mechi ya leo?

Cr Belouzidad wanaingia na mfumo wa 4-2-3-1 wakati nyie mna 4-4-2

Kwa mfumo huo kati ya Cr Belouzidad na Yanga nani ambaye ana defense?
Mbele wameweka mshambuliaji mmoja
 
Back
Top Bottom