FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Jinga kabisa wewe..
Leo ndio utashuhudia nini maana ya mpira mkae kitako mjifunze,sajili makini kocha makini na uongozi makini.. yanga inaleta mabadiriko ktk nyanja ya mpira Tanzania mpira sio ulozi au Imani yakishirikina bali mbinu akili na wachezaji wenye viwango.. yanga inawafundisha mpira ni sayansi..

Leo itakushika aibu ya kwanini huishabikii yanga,donge litakutoka muda utasema nawe.
Acha kutukana toa hoja nzuri zenye kuvutia jukwaa kwa nini umtukane mwenzako
 
Wananchi Kimataifa Tuko tayari🔰🏟️
Screenshot_20231124-202150.jpg


Screenshot_20231124-202143.jpg
Screenshot_20231124-202133.jpg
 
Kitakachomponza mwarabu leo ni ushosti wake na kolo.
 
Kikosi kimewasili kwenye Dimba la Stade 5 Juillet 1962🔰💪🏽
20231124_210343.jpg
 
Back
Top Bottom