Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Safe option ni double chance ya yanga
Hakuna hiyo kitu, lbd uweke ya magoli CR win 4+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safe option ni double chance ya yanga
Daah mbona CRB ni timu ya kawaida sana hizo goli 4 wanafungia wapi gemu zao nyingi wakishinda ni goli moja au mbili kwa moja au wafungwe wao kama walivyofungwa gemu zote na Alger na huo Uwanja ni wa Alger wao wana uwanja wao mdogo kama wa Azam ni vile ndugu zetu wengi mpira umewapita kushoto matokeo ndio yanawaamsha...Hakuna hiyo kitu, lbd uweke ya magoli CR win 4+
AahaaaaaUchawi ni nini?View attachment 2823055
Kachoka. AnachezaWakuu, naona kama marking ya Bakari Nondo kuna namna imepungua, sio kisiki kama msimu uliopita na mwanzoni kwa msimu huu.
Ile mechi ya Stars kulikuwa na makosa yake mengi tu, nimepata hofu juu yake sana na ni moja kati ya wachezaji wangu pendwa pale kikosini.
Au ni wasiwasi wangu tu?
Mbado.Bora sasa hizi kenge zianze fikra mpya.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwarabu anakufa leoHakuna hiyo kitu, lbd uweke ya magoli CR win 4+
Nadhan kuna machine inaitwa FULL TIME hapo nyumbani kwako utaiset isome hivyoFul time itasoma
Beluizdad 0 yanga 2
Sab'a...hiyo Saba ya kiswahili inatokana na kiarabu,na ndiyo sabato inakotoka yaani yamul sabt(siku ya Saba/jumamosi)Hivi 7 kwa kiarabu inaitwaje vile!! Kuna watu 7 inawahusu, sina sababu ya kuwataja maana wanajifahamu!!
Sister mbona una hofu mno? Kuwa na amani tusubiri kikosi kitajwe kwanzaWakuu, naona kama marking ya Bakari Nondo kuna namna imepungua, sio kisiki kama msimu uliopita na mwanzoni kwa msimu huu.
Ile mechi ya Stars kulikuwa na makosa yake mengi tu, nimepata hofu juu yake sana na ni moja kati ya wachezaji wangu pendwa pale kikosini.
Au ni wasiwasi wangu tu?
Mpigweee nawaombea kichapo kikali mpk akili za mabango zikae sawa...
..😂😂😂😂Piga utoo pigaa hao