FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Hakuna hiyo kitu, lbd uweke ya magoli CR win 4+
Daah mbona CRB ni timu ya kawaida sana hizo goli 4 wanafungia wapi gemu zao nyingi wakishinda ni goli moja au mbili kwa moja au wafungwe wao kama walivyofungwa gemu zote na Alger na huo Uwanja ni wa Alger wao wana uwanja wao mdogo kama wa Azam ni vile ndugu zetu wengi mpira umewapita kushoto matokeo ndio yanawaamsha...
 
Hii mechi imekaa vibaya
Naona DRAW ikiwa tutakaza
Ila tukizingua tutafungwa
Kwa nje ya uwanja(medani za kiutamaduni) mechi ngumu kushinda
Kimodern tutategemea juhudi za wachezaji
7bu nyota wetu tegemezi hii mechi imewakalia kushoto
 
Wakuu, naona kama marking ya Bakari Nondo kuna namna imepungua, sio kisiki kama msimu uliopita na mwanzoni kwa msimu huu.

Ile mechi ya Stars kulikuwa na makosa yake mengi tu, nimepata hofu juu yake sana na ni moja kati ya wachezaji wangu pendwa pale kikosini.

Au ni wasiwasi wangu tu?
Kachoka. Anacheza

mechi nyingi Nifah
 

Attachments

  • IMG-20231123-WA0005.jpg
    IMG-20231123-WA0005.jpg
    50.8 KB · Views: 5
Wakuu, naona kama marking ya Bakari Nondo kuna namna imepungua, sio kisiki kama msimu uliopita na mwanzoni kwa msimu huu.

Ile mechi ya Stars kulikuwa na makosa yake mengi tu, nimepata hofu juu yake sana na ni moja kati ya wachezaji wangu pendwa pale kikosini.

Au ni wasiwasi wangu tu?
Sister mbona una hofu mno? Kuwa na amani tusubiri kikosi kitajwe kwanza
 
pacome weee aka la profeseri atauq mtu mshenzi yule yao yao mkaba upepo waarabu watahisi wanacheza na jini. azizi k usije piga yale mashuti muarabu wa wawatu hana mtoto usije ukaua. max kama max kiboko ya waarabu diara anadaka mpka matatizo uwiii waarabu poleni jamani.
 
Back
Top Bottom