Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga 1 wale wengine 0 marudiano tunatoka tunawapiga mbili 1 hapa homeLeo ndo leo majira ya saa 4 usiku Yanga sc watakuwa wanacheza mechi yao ya kwanza katika ligi ya mabingwa Afrika Mungu ibariki Yanga sc
View attachment 2822882
Kila la kheri Yanga Africa...Leo ndo leo majira ya saa 4 usiku Yanga sc watakuwa wanacheza mechi yao ya kwanza katika ligi ya mabingwa Afrika Mungu ibariki Yanga sc
View attachment 2822882
Hivi Yanga kwa kiingereza ni Young?Kila la kheri Dar Young Africans
Hii ya TP Mazembe vs Pyramid ni burudani hasaPyramids vs Mazembe Over 2.5 goals
Beloiuzdad vs Yanga Over 2.5 goals
Viceversor is true!!![emoji2048] 2 - 0 [emoji196]
AahaaaaaHii ya TP Mazembe vs Pyramid ni burudani hasa
Jinga kabisa wewe..Mpigweee nawaombea kichapo kikali mpk akili za mabango zikae sawa...
Atakaye cheza vizuri ataungana na pacome 😂 hapo jamaa kasema ukweli kabisa 👏👏Uchawi ni nini?View attachment 2823055
Sheeendwaaa!
Mshindwee💪💚💚💚Wafurushwe mingi, kila mtu ashinde mechi zake
Namaanisha hii itatufaa kuvuta muda tukisubiri mtanange kati ya Waarabu na YangaAahaaaaa
Kwanini mkuu?
Ful time itasomaDiarra, Yao kwasi, d.job,bacca,lomalisa,aucho, mudathir, pacome fundi professor mtu na nusu, Aziz k mnyama mtu na mpira wake, max zengeli kijana ambaye hajaanza mapenzi, musonda!!!
All the best wananchi
Hiyo imeandikwa tulimla Tano, Simba sport clubs huu ni unyama sanasimba sports club ni mnyama sana.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Alafu utopolo wanasema mbunifu wao ni hatari.HAMNA KITU HAPO KELELE TU Za yaani jezi inabebwa kwa maneno