FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Uchawi ni nini?
IMG_8783.jpeg
 
Mpigweee nawaombea kichapo kikali mpk akili za mabango zikae sawa...
Jinga kabisa wewe..
Leo ndio utashuhudia nini maana ya mpira mkae kitako mjifunze,sajili makini kocha makini na uongozi makini.. yanga inaleta mabadiriko ktk nyanja ya mpira Tanzania mpira sio ulozi au Imani yakishirikina bali mbinu akili na wachezaji wenye viwango.. yanga inawafundisha mpira ni sayansi..

Leo itakushika aibu ya kwanini huishabikii yanga,donge litakutoka muda utasema nawe.
 
Back
Top Bottom