Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Simba tu ambaye ni mkubwa alikula 5 nyumbani kwake. Luizdad atakula least 2 za mkwezi mchana kweupe kabisa. Ili mseme wabovuHaifungi goal kule. Iishe sare kivipi yaani? Mnajikuta tu mnajua sana mnafikiri ile na nbcl au uwanja wenu nyumbani na ugenini