Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
-
- #201
Wewe si umesema hawajaaanza unapinga hoja yakoMpira ni kanuni na mfumo ndio kanuni yenyewe
Unawacheka Cr Belouzidad kwa kuanza na beki wa 4 wakato hata nyie mmeanza na beki wa nne
Na tena kwa uoga zaidi eneo la defence midfielders mmeweka watu wanne
Teh teh teh πππ wewe jamaa acha uchochezi.CCM na CHAWA wamegeuza hizi timu kuwa za Chama.
Wanatumia mpira kwa maslahi ya kisiasa.
Hivyo, wanyonge wasio na CHAMA wanaomba YANGA IFUNGWE 2 -0.
Sawa
Ndio modern football ilivyoMbele wameweka mshambuliaji mmoja
Amina amina!Kila la kheri yanga
Mshapoteza hii game.πEeh Mungu saidia Yanga π!
Asaidie?Eeh Mungu saidia Yanga π!