Shaibu Hiwalisi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 603
- 582
1. WahdaHivi 7 kwa kiarabu inaitwaje vile!! Kuna watu 7 inawahusu, sina sababu ya kuwataja maana wanajifahamu!!
Sijaona comment yako kuhusu uzi wa yanga vipi uzi sio mzito kama wakipindi kile
Nakumbuka nilivyokuwa mdogo nikienda uwanjani kufatilia mechi za chama langu la Belouzdad, historia inasema hizi mechi za ijumaa huwa tunaua kwa goli nyingi sana.Leo ndo leo majira ya saa 4 usiku Yanga sc watakuwa wanacheza mechi yao ya kwanza katika ligi ya mabingwa Afrika Mungu ibariki Yanga sc
View attachment 2822882
ngja tuone mkuuHaifungi goal kule. Iishe sare kivipi yaani? Mnajikuta tu mnajua sana mnafikiri ile na nbcl au uwanja wenu nyumbani na ugenini
Salamaleko.
Ugenini. Bolaziz 3-1 YangaLeo ndo leo majira ya saa 4 usiku Yanga sc watakuwa wanacheza mechi yao ya kwanza katika ligi ya mabingwa Afrika Mungu ibariki Yanga sc
View attachment 2822882
leo kichapo kwa yanga hakiepukikiYanga haijawahi kutuangusha mechi za away
Kwahiyo zinachezwa mechi mbili tu? Ujinga ni mzigo mkubwa sanaUgenini. Bolaziz 3-1 Yanga
Home:-------Yanga 1-1 {Yanga Out}
AahaaaaaNakumbuka nilivyokuwa mdogo nikienda uwanjani kufatilia mechi za chama langu la Belouzdad, historia inasema hizi mechi za ijumaa huwa tunaua kwa goli nyingi sana.
Kila la heri kwa wanangu CR Belouzdad
Mkuu hii si robo,nusu wala fainaliUgenini. Bolaziz 3-1 Yanga
Home:-------Yanga 1-1 {Yanga Out}
🤣🤣🤣🤣🤣Mpigweee nawaombea kichapo kikali mpk akili za mabango zikae sawa...
Kanichekesha sana mdauu..ana uchu wa kuona utopwox wanafurushwa mapemaaMkuu hii si robo,nusu wala fainali
Aahaaaa
Bado tupo makundi