FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Tangu tar 5 nov leo ndio naona wanasimba wamefufuka.

Hayo ndiyo matokeo ya mpira. Yanga amepigwa na Ihefu mwaka huu na tunachukulia kawaida tu.

Ila sio mbaya maana watani wetu mmepata faraja baada ya yanga kufungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…