[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga hii ni hatari kaka,yaani anayeingia na anayetoka wote wakali,hapa kuna max,kule kuna pacome,pale kuna aziz ki.[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Maweeeeee
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
KWELI SIMBA TULIFUNGWA 5-1.
Ila nina furaha mwana wane mwarabu katupia 3.kweli malipo hapahapa.
Sisi pipooo tutakutanaa.
πππTicket ninayooo [emoji23][emoji23][emoji23]
Utalia sana leo, na badooo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23] tukutane kwa mkapa kesho[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii imepitwa na wakati tunaenda na trending, hiyo ishapotea mtaani kuna hii mpya leo
Alaaah. Dj tuletee matokeo ya arabuniiiii.asumaaaaaaaniiii
Hii ni champion league na siyo shirikisho.Hata shirikisho yanga walianza kwa kufungwa ugenini,mechi zilizofuata tukawa tunatamani yanga apoteze,lakini mpaka final ndo akapoteza
Nibembeleze my πππππUtalia sana leo, na badooo
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi namshauri injinia wa football, hersi, awaombe CAF iwarudishe kwenye ligi ya saizi yao,CAF CC.Hawa Yanga wameaibisha sana Taifa la Tanzania tumeonekana wote ni wajinga, nashauri wajiondoe kwa heshima tu kwenye michuano maan naona kabsa kuna Dhahama kubwa sana mbeleni
Timu ina miaka 25 ndiyo imeingia makundi ya Champion League.Waliambiwa wakaleta ujuaj mwingi