FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Mashabiki wa yanga ndo wanajifanya kujizima data tu, lakini viongozi wao wanajua kuwa caf champions league ni maji marefu kwao. Ndio maana malengo yao yalikuwa ni kufika hatua ya makundi tu na si vinginevyo!!.
 
Naona jezi hapo kama simba na yanga.

Poleni sana vyura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…