Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Duh! Ahueni sikukesha kuangalia hiyo mechi. Maana ningeumia sana. 3G si mchezo. Kuna sehemu tulizembea bila shaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Ahueni sikukesha kuangalia hiyo mechi. Maana ningeumia sana. 3G si mchezo. Kuna sehemu tulizembea bila shaka.
Mtaweza kuutumia uwanja wa nyumbani?Duh! Ahueni sikukesha kuangalia hiyo mechi. Maana ningeumia sana. 3G si mchezo. Kuna sehemu tulizembea bila shaka.
Vipi, safari hii mlivyomfunga Belouizdad 3-0, mtaweka mabango au mabango ni kwa ajili ya simba tu?Duh! Ahueni sikukesha kuangalia hiyo mechi. Maana ningeumia sana. 3G si mchezo. Kuna sehemu tulizembea bila shaka.
Fifa imewahusu yanga tu mzee baba hau 3G haiwahusuUnachezwa uwanjani; umeona jinsi ambavyo Yanga ilivyomiliki mpira ila ilifungwa kutokana na weakness katika positions muhimu kadhaa ambazo mastaa wa Yanga walikuwa wamechoka kutokana na mashindano ya FIFA na wengine hawakuweza kucheza kabisa kutoka na hiyo ratiba ngumu ya FIFA. Mchezo ujao wataikuta Yanga imekamilika na tutarudi hapa kuhabarishana matokeo.
Hahahahahah jumapili kutakuwa na supu day ila kila mwana utopolo tumeonelea apewe chapati walau zisizopungua 3 na nyama 3 🤣🤣🤣Atleast huyu ameona juhudi zetu, kabumbu safi ila tu bahati mbaya inatokea na siku hazifanani
Tunaiweka maktabaUnachezwa uwanjani; umeona jinsi ambavyo Yanga ilivyomiliki mpira ila ilifungwa kutokana na weakness katika positions muhimu kadhaa ambazo mastaa wa Yanga walikuwa wamechoka kutokana na mashindano ya FIFA na wengine hawakuweza kucheza kabisa kutoka na hiyo ratiba ngumu ya FIFA. Mchezo ujao wataikuta Yanga imekamilika na tutarudi hapa kuhabarishana matokeo.
Fifa imewahusu Yanga zaidi kwa vile ina wachezaji wa kutoka Mataifa mbalimbali. Nchi za Kiarabu huwa hazina wachezaji zaidi ya watatu kutoka mataifa ya nje, lakini vile vile ratiba ya nchi zenye wachezaji wa Yanga ilikuwa tight sana kwa Yanga.Fifa imewahusu yanga tu mzee baba hau 3G haiwahusu
Ongea bila kulia mzeeYanga tunahitaji point 10 tu, na tutazipata bila wasi was wowote. kati ya point 8 au 9 hapo Lupaso, na point nyingine mbili huko Ughaibuni. Safari bado mbichi sana. Uzuri tumeanzia ugenini jamba ambalo ni jema kwetu. Siku wakija kwa Mkapa ni 5G bila huruma.
Ili kuleta usawa bora kila mwanachàma achague: chapati 3-0 nyama au nyama 3 - 0 chapati. Au nimesema uongo ndugu zanguuuuHahahahahah jumapili kutakuwa na supu day ila kila mwana utopolo tumeonelea apewe chapati walau zisizopungua 3 na nyama 3 🤣🤣🤣
Upo sahihi kabisa maana lengo ni kila mwananchi ale chapati 3 au nyama 3 na ikitupendeza basi atapewa bakuli 3 za supu.Ili kuleta usawa bora kila mwanachàma achague: chapati 3-0 nyama au nyama 3 - 0 chapati. Au nimesema uongo ndugu zanguuuu
Kawaulize Club AFricaine na MS Algiers Makali ya Yanga.Ongea bila kulia mzee
Nini 5G, tarehe 2 December Al ahly anampiga mtu 6GFifa imewahusu Yanga zaidi kwa vile ina wacheazji wa kutoka Mataifa mbalimbali. Nchi za Kiarabu huwa hazina wachezaji zaid ya watatau kutoka mataoifa ya nje, lakini vile vile ratiba yanchi zuzenye wacheazji wa Yanga ilikuwa tight sana kwa Yanga.
3G ni technolojia ya zamani sana, wengine sasa hivi tunaangalia 5G tu.
[emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji3]Mie hata hayo meno yake sikuyaona kwa kweli [emoji23] [emoji23]
Tumeyatunza je bado unaendelea kutushauri tuendelee kuyatunza.?duuh watu mko chaaap ila hii mechi inaisha kwa sare ya bao 1-1 wakuu tunzeni haya maneno yanga ataanza kushinda jamaa watchomoa baadae sana
Hahahaaa. Lol.
Hadi nimecheka. Lol.Shadeeya Bantu Lady popote mlipo msijidhuru please....bado mnahitajika, haya ya Leo yatapita tu.
Tukutane kwa Mkapa inshaallah, Mnyama atawafuta machozi.
Vipi na leo kuna supu au ?Daah!