Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawasubiri kwa mkapa kila mmoja ashinde mechi zakeWatu na 3G yenuuuu
Mji umetuliaaaaaa
Mpira sio mabango
Walitusumbua sana,mji umetuliaWatu na 3G yenuuuu
Mji umetuliaaaaaa
Mpira sio mabango
3G bila mnara.Wananchi hali ikoje huko mlipo?
Hahahaaa. Lol.5 za kitambo, tunaongelea ya moto moto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aibu nimeona mie,Kule hakuna majini wachezaji kule ni mpira tuu...mliambiwa kwny Ligi ya mabingwa mpira hauhitaji mbwembwe ni tacticts za magoli...oooh Yanga ina mpira mzuri haya sasa...3G hyoooo
Na supuGoli 3 kwa Kiarabu tunaita Thalatha. Badala ya kujiandaa na CAFCC nyie mnahangaika na mabango. Pumbavu
🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸Yanga nzuri[emoji774][emoji774][emoji774][emoji774][emoji774][emoji774][emoji774]
Mjifunze kwa mtani leoHahahaaa. Lol.
Hapana Kiongozi, Uto hamkuzembea. Ndiyo uwezo na uchezaji wenu ... waliwasoma wakaja kwa mbinu sahihi.Duh! Ahueni sikukesha kuangalia hiyo mechi. Maana ningeumia sana. 3G si mchezo. Kuna sehemu tulizembea bila shaka.
[emoji23][emoji23][emoji23] vipi ushaamka??Nibembeleze my [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi namshauri injinia wa football, hersi, awaombe CAF iwarudishe kwenye ligi ya saizi yao,CAF CC.
Wee Robo ya Champions league ulifika lini? Achilia makundi 25yrs ago. KhaahWe fainali ya shirikisho ulifika lini?