Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hii ndio maana halisi ya uto wenye akili ni wawili tu🐸🐸Wee Robo ya Champions league ulifika lini? Achilia makundi 25yrs ago. Khaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio maana halisi ya uto wenye akili ni wawili tu🐸🐸Wee Robo ya Champions league ulifika lini? Achilia makundi 25yrs ago. Khaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ooh tutaifunga Aly ahly home and away haya sasa hebu pambaneni kwanza na hawa taxi driver wa CR Belouizdad toka Algeris
Bush fcUnafundisha timu gani!?
Kombe gani?Kawaulize Club AFricaine na MS Algiers Makali ya Yanga.
Max wa 4m 4 B, anasema alichoka maan alitolewa class akifanya paper ya phys pract. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Aziza kii na mzee mzize,Max mwanafunzi wa primary hawakuwepo nn?
Al ahly na CR belouizdad wanakupiga nje ndani,Yanga tunahitaji point 10 tu, na tutazipata bila wasi was wowote. kati ya point 8 au 9 hapo Lupaso, na point nyingine mbili huko Ughaibuni. Safari bado mbichi sana. Uzuri tumeanzia ugenini jamba ambalo ni jema kwetu. Siku wakija kwa Mkapa ni 5G bila huruma.
Point 8 kivip?Yanga tunahitaji point 10 tu, na tutazipata bila wasi was wowote. kati ya point 8 au 9 hapo Lupaso, na point nyingine mbili huko Ughaibuni. Safari bado mbichi sana. Uzuri tumeanzia ugenini jamba ambalo ni jema kwetu. Siku wakija kwa Mkapa ni 5G bila huruma.
Hata hiyo Medeama huwezi juaAl ahly na CR belouizdad wanakupiga nje ndani,
Wee utamuonea Medeama tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sipati picha ulivyokua unaliaa had kamasi wallah.Duh! Ahueni sikukesha kuangalia hiyo mechi. Maana ningeumia sana. 3G si mchezo. Kuna sehemu tulizembea bila shaka.
Kunywa maji mengi, moyo ueleeFifa imewahusu Yanga zaidi kwa vile ina wacheazji wa kutoka Mataifa mbalimbali. Nchi za Kiarabu huwa hazina wachezaji zaid ya watatau kutoka mataoifa ya nje, lakini vile vile ratiba yanchi zuzenye wacheazji wa Yanga ilikuwa tight sana kwa Yanga.
3G ni technolojia ya zamani sana, wengine sasa hivi tunaangalia 5G tu.
Ukali wa Yanga wameuonesha CR BelouizdadKawaulize Club AFricaine na MS Algiers Makali ya Yanga.
Mtaniiiiiii poleeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mmevurugwaa...Apostle...kuna muujiza huku
Kuna nini?
...huyu dada Yanga toka atoke mbeya alikua haoni siku zake.
Nini kimetokea?
..alipokanyaga tu hapa Alger kaona siku zake Mara tatu zaidi.
Nani mtenda miujiza?
..Belouzidad..
Piga makofi kwa Belouzdad!
Ndio my nipo zangu kigamboni hapa beach napata upepo wa bahari huku natetemeka sana🤣😭😭😭[emoji23][emoji23][emoji23] vipi ushaamka??
Hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ndio maana halisi ya uto wenye akili ni wawili tu[emoji196][emoji196]