FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Ni shida soulimeti...

Maarabu yanacheza yamepania yale utafikiri sifa wakati yamejaza majini tupu uwanjani. Yakija huku lazima tuyakande wallahi πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
Bado hamjasema huku sio Ligi kuu Tanzania BaraπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mjukuu niwache!

Hata salamu yako siitikii mjukuu 😬

Nije huku Kalpana akiniona je? πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ

View attachment 2824243
Upo classmate? Yani ulipoteaaaaa nimekuona nimekuonaaa....
Hhaahhahahha tuliwaambia tunzeni maneno...
🀣 🀣
 
Habari nilizopata hivi punde IHEFU wamechukia sana sana my wao kuwasiliti na muharabu kisa muarabu ana maokoto basi utopwinyo akamsahau bwana wake mlima mpunga akaenda kumpa mtu mwenye mafuta yake na nilimsikia kocha Gamundo akisema wale wachezaji kulikua na wengine ni HAMAS na Hezbollah mana wameonyesha ukatili mkubwa sana kwa chura tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…