zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
watadharau vp walikula mkonoWana Simba hii Yanga si ya kudharauliwa hata kama ni wageni humu kwenye haya mashindano. Midfield ipo vizuri mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watadharau vp walikula mkonoWana Simba hii Yanga si ya kudharauliwa hata kama ni wageni humu kwenye haya mashindano. Midfield ipo vizuri mno.
Mi niko live score hizo mizunguko hazibadilishi ubaoumeona max anavyo zunguka lakini
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!!Wana Simba hii Yanga si ya kudharauliwa hata kama ni wageni humu kwenye haya mashindano. Midfield ipo vizuri mno.
Kuzunguka hata pia inazungukaumeona max anavyo zunguka lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Washapigwa moja. Unafunguka ugenini? Hatari hii. Kuna weza kuwa na mkono wa nyani hapa.
utakubalvKuzunguka hata pia inazunguka
Kutesa kwa zamuMakolo nguvu ya kucheka sijui yanatoa wapi ...
Tulia hapoMpigweee nawaombea kichapo kikali mpk akili za mabango zikae sawa...
Ili kulipiza sio ?....Kesho hadi singeli nitacheza!
Mdaka mistake 😀😀😁Live video Highlights mtazipata hapa comment nambari 3
4' Yanga inashambulia
View attachment 2823802
Yanga imefungwa goli kwa kona
View attachment 2823815
Tulia mpira hata haujaisha, mbna ushindi ni wenu.Nawaona wachawii watavojaa kutuchamba hapa [emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]