cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumekuja kushuhudia mkono wa chura [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumekuja kushuhudia mkono wa chura [emoji23][emoji23]
Mkuu kwa pira hili la Yanga wasipodroo au kushinda ni uthibitisho kuwa mpira ni mchezo wa kikatili sana.Tukiwaambia mtofautishe kati ya makundi kwenye michuano ya kombe la losers na ile ya mabingwa muwe mnaelewa!!
Walisahau kuchukua mchele kule Mbarali ndio wataweza kukumbuka kuchukua tende huko uarabuni kwa moto wanaopelekewa?Watuletee tende
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan had co poaaSimba imejaa vinywani mwa watu hata hawaoni kama ni CR Belouzdad
Wewe Mbumbumbu kwani umeisha?Tukiwaambia mtofautishe kati ya makundi kwenye michuano ya kombe la losers na ile ya mabingwa muwe mnaelewa!!
HakuelewiHuyu kibendera ni msengerema
Ukweli yanga ana kiwango bora sana, mwarabu kabanwa hata kama anaongoza.Yanga anashinda au ana droo
Kwa hiyo hii mechi kwao sio muhimu?Mbinu ya kumtunza dhidi ya Al Ahly
Hebu ongeza sauti kuhusu Aziz Ki, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga kwa dk30 hizi wameonyesha uhai sana,
sema Aziz K sijui anajificha mbona haonekani kutafuta nafasi ili asaidie timu!!
Unaangalia mpira upi mwenzetu?Tukiwaambia mtofautishe kati ya makundi kwenye michuano ya kombe la losers na ile ya mabingwa muwe mnaelewa!!
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Jamaa wameupiga mwingi hadi sasa.Mkuu kwa pira hili la Yanga wasipodroo au kushinda ni uthibitisho kuwa mpira ni mchezo wa kikatili sana.