Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
🦁Uzi unajaa jina la Simba kuliko CR Belouzdad, jamanii kwemaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🦁Uzi unajaa jina la Simba kuliko CR Belouzdad, jamanii kwemaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I put 100 % in every word that i have written in my thread above.Natumai utasimamia msimamo wako.
Naomba usicheheke tafadhali...Dada,
Kesho nitakaa hapa na popcorn zangu kuwacheka tu subiri muone..!![emoji23]
Amezoea ugali sukariItakuwa kahongwa biriani 😂😂
Pamoko miyanguUzalendo naweka pembeni, dua yangu uto wapigwe ili wakae kimya, haiwezekani mechi ushindi kwa Simba ndo kila siku mnaongelea hilo? [emoji90] poor
Natamani nikujibu but haita make sense cause am leaving jf.Atakuja na I d mpya na kusema mwanamke anataka kumpa sumu .............au katupiwa mtoto na mke wa jirani yake
Yupo uarabuni sasaAmezoea ugali sukari
Amka ulipokaa zunguka zunguka naona unaotamechi, mazoezi haya
hii mechi tunashinda 3
muda ni shahidi mzuriAmka ulipokaa zunguka zunguka naona unaota
Sana.Lakini pira tunalimwaga jamani! Sio mbaya
Watuletee tendeYupo uarabuni sasa