FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Siku kadhaa zilizopita nilianzisha uzi nikitabiri kwamba kwenye mechi ya Cr belouzdad Yanga watashinda goli mbili kwa sifuri na kwamba magoli yote ya Yanga yatafungwa na Mzize kipindi cha kwanza.


Nilikuwa napeleka ujumbe kwa benchi la ufundi la Yanga kwamba kwenye mechi ya leo kinyota lazima mzize aanze na lazima atangulie kukanyaga uwanja na half time awe wa kwanza kutoka nje ya uwanja.


Mpaka now:

1.Cr belouzdad wanaongoza kwa goli moja.

2. Mzize hayupo dimbani.


3. Mbaya zaidi golini kakaa metacha.


Utabiri wangu tayari umesha haribiwa. Na kama nilivyo toa ahadi hapo awali kwamba nitajitoa jf endapo utabiri wangu hautatimia kwa asilimia mia kama nilivyo tabiri.


Hata kama Yanga watashinda mechi hii.

Hata kama Mzize atafunga but still bado utabiri wangu hautakuwa umetimia kwa asilimia mia.


Goodbye wana Jf.

It was nice to meet you guys.

Nimekaa jf kwa miaka 11 tangu 2012.

Goodnight and all the best
 
Siku kadhaa zilizopita nilianzisha uzi nikitabiri kwamba kwenye mechi ya Cr belouzdad Yanga watashinda goli mbili kwa sifuri na kwamba magoli yote ya Yanga yatafungwa na Mzize kipindi cha kwanza.


Nilikuwa napeleka ujumbe kwa benchi la ufundi la Yanga kwamba kwenye mechi ya leo kinyota lazima mzize aanze na lazima atangulie kukanyaga uwanja na half time awe wa kwanza kutoka nje ya uwanja.


Mpaka now:

1.Cr belouzdad wanaongoza kwa goli moja.

2. Mzize hayupo dimbani.


3. Mbaya zaidi golini kakaa metacha.


Utabiri wangu tayari umesha haribiwa. Na kama nilivyo toa ahadi hapo awali kwamba nitajitoa jf endapo utabiri wangu hautatimia kwa asilimia mia kama nilivyo tabiri.


Hata kama Yanga watashinda mechi hii.

Hata kama Mzize atafunga but still bado utabiri wangu hautakuwa umetimia kwa asilimia mia.


Goodbye wana Jf.

It was nice to meet you guys.

Nimekaa jf kwa miaka 11 tangu 2012.

Goodnight and all the best
Natumai utasimamia msimamo wako.
 
Siku kadhaa zilizopita nilianzisha uzi nikitabiri kwamba kwenye mechi ya Cr belouzdad Yanga watashinda goli mbili kwa sifuri na kwamba magoli yote ya Yanga yatafungwa na Mzize kipindi cha kwanza.


Nilikuwa napeleka ujumbe kwa benchi la ufundi la Yanga kwamba kwenye mechi ya leo kinyota lazima mzize aanze na lazima atangulie kukanyaga uwanja na half time awe wa kwanza kutoka nje ya uwanja.


Mpaka now:

1.Cr belouzdad wanaongoza kwa goli moja.

2. Mzize hayupo dimbani.


3. Mbaya zaidi golini kakaa metacha.


Utabiri wangu tayari umesha haribiwa. Na kama nilivyo toa ahadi hapo awali kwamba nitajitoa jf endapo utabiri wangu hautatimia kwa asilimia mia kama nilivyo tabiri.


Hata kama Yanga watashinda mechi hii.

Hata kama Mzize atafunga but still bado utabiri wangu hautakuwa umetimia kwa asilimia mia.


Goodbye wana Jf.

It was nice to meet you guys.

Nimekaa jf kwa miaka 11 tangu 2012.

Goodnight and all the best

Something went wrong on or in ur mind I'm not sure if Childish can hold you back
 
Back
Top Bottom