Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Yanga wanacheza vizuri boss. Vizuri sana.Yanga ni kama kuku tu, mnaachwa mcheze uani na kupewa mchele waarabu watawala na wali baadae. [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga wanacheza vizuri boss. Vizuri sana.Yanga ni kama kuku tu, mnaachwa mcheze uani na kupewa mchele waarabu watawala na wali baadae. [emoji23][emoji23]
Woooow!.. sounds lovely...😋😋tutakuwa hapa nanyi bumper to bumper, dadeeeq..!!
Waupiga mwingi.Utopolo wanapambana sana...
Tuliaaaa!Tulieni tulieni mmeshapata bwana wa kiarabu 😂😂
Tumekuja kushuhudia mkono wa chura 😂😂Uzi unajaa jina la Simba kuliko CR Belouzdad, jamanii kwemaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Simba imejaa vinywani mwa watu hata hawaoni kama ni CR BelouzdadUzi unajaa jina la Simba kuliko CR Belouzdad, jamanii kwemaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Natumai utasimamia msimamo wako.Siku kadhaa zilizopita nilianzisha uzi nikitabiri kwamba kwenye mechi ya Cr belouzdad Yanga watashinda goli mbili kwa sifuri na kwamba magoli yote ya Yanga yatafungwa na Mzize kipindi cha kwanza.
Nilikuwa napeleka ujumbe kwa benchi la ufundi la Yanga kwamba kwenye mechi ya leo kinyota lazima mzize aanze na lazima atangulie kukanyaga uwanja na half time awe wa kwanza kutoka nje ya uwanja.
Mpaka now:
1.Cr belouzdad wanaongoza kwa goli moja.
2. Mzize hayupo dimbani.
3. Mbaya zaidi golini kakaa metacha.
Utabiri wangu tayari umesha haribiwa. Na kama nilivyo toa ahadi hapo awali kwamba nitajitoa jf endapo utabiri wangu hautatimia kwa asilimia mia kama nilivyo tabiri.
Hata kama Yanga watashinda mechi hii.
Hata kama Mzize atafunga but still bado utabiri wangu hautakuwa umetimia kwa asilimia mia.
Goodbye wana Jf.
It was nice to meet you guys.
Nimekaa jf kwa miaka 11 tangu 2012.
Goodnight and all the best
Umeona na wewe 😂😂Metacha usikimbie mechi bro
Siku kadhaa zilizopita nilianzisha uzi nikitabiri kwamba kwenye mechi ya Cr belouzdad Yanga watashinda goli mbili kwa sifuri na kwamba magoli yote ya Yanga yatafungwa na Mzize kipindi cha kwanza.
Nilikuwa napeleka ujumbe kwa benchi la ufundi la Yanga kwamba kwenye mechi ya leo kinyota lazima mzize aanze na lazima atangulie kukanyaga uwanja na half time awe wa kwanza kutoka nje ya uwanja.
Mpaka now:
1.Cr belouzdad wanaongoza kwa goli moja.
2. Mzize hayupo dimbani.
3. Mbaya zaidi golini kakaa metacha.
Utabiri wangu tayari umesha haribiwa. Na kama nilivyo toa ahadi hapo awali kwamba nitajitoa jf endapo utabiri wangu hautatimia kwa asilimia mia kama nilivyo tabiri.
Hata kama Yanga watashinda mechi hii.
Hata kama Mzize atafunga but still bado utabiri wangu hautakuwa umetimia kwa asilimia mia.
Goodbye wana Jf.
It was nice to meet you guys.
Nimekaa jf kwa miaka 11 tangu 2012.
Goodnight and all the best
mechi, mazoezi hayaMetacha usikimbie mechi bro
Mtoto mdogo yake nepi.....tulia wwYanga ni kama kuku tu, mnaachwa mcheze uani na kupewa mchele waarabu watawala na wali baadae. [emoji23][emoji23]