makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
πHii michuano inataka magoli, haitaki pira supuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kauli yangu umeielewa lakini, najua magoli yanahitajika kuamua mechi, mie nawasifia yanga kwa mchezo wanaocheza, wanacheza vizuri.