FT: CRDB Bank Federation Cup 23/24 FINAL: Dak. 120 | Azam FC 0-0 Yanga SC | Pnt (5-6): New Amaan Complex 2/6/2024. Yanga abeba ubingwa

Ndani ya siku hizi mbili Yellow nation tumekuwa na wakati mgumu sana Jana Al Nasr kapigwa na Mda si mrefu Dortmund kapigwa Sasa ni Yanga pekee kwenye Yellow nation duniani aliebaki kuokoa jahazi
Mamelodi sundowns nae kapigwa na Orlando pirates juzi kwenye kombe la FA south Africa so jiandaeni vizuri
 
Ndani ya siku hizi mbili Yellow nation tumekuwa na wakati mgumu sana Jana Al Nasr kapigwa na Mda si mrefu Dortmund kapigwa Sasa ni Yanga pekee kwenye Yellow nation duniani aliebaki kuokoa jahazi
Umesahau Mamelody Jana?
 
Ndani ya siku hizi mbili Yellow nation tumekuwa na wakati mgumu sana Jana Al Nasr kapigwa na Mda si mrefu Dortmund kapigwa Sasa ni Yanga pekee kwenye Yellow nation duniani aliebaki kuokoa jahazi
Na mamelodi kapigwa pia jana
 
Na mamelodi kapigwa pia jana
Nimepoteza Imani sana maombi yangu kwa Sasa ni Guede na Mzize waanze pale mbele na nafasi hata Moja isipotezwe game ikiwa inaanza Azam huwa hawako makini 0-2 inatosha
 
Azam anakufa 3-0
 
Azam atashinda hata asiposhinda kombe lenyewe ni la mbuzi tu hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…