Mkuu sitaki mazoea na uto kwenye uzi wa mnyama mkali.
Uto ndio wanajiona hivyo sisi wala hatupo huko, mlifikia wap sakata la kagoma au amegoma ?
Mkifuzu robo nipigwe ban ya maishaMatokeo
Simba 0 ..........4 waarabu
Na Mazembe anampango WA kubaki na Yanga. Hii ndio inaitwa unaua mtoto upate utajiri unabaki kuwa masikini.🤣🤣Naona Utopolo mmewahi viti vya mbele kujifariji. Msisahau mna viponti vinne tu mlivyookoteza kwa kibonde TPM.
Mazembe atawashughulikia. Tufe wote🤓🤓🤓Mkifuzu robo nipigwe ban ya maisha
Mama kubwa bana🤣Mazembe atawashughulikia. Tufe wote🤓🤓🤓
Wamedai hawana cha kupoteza watabaki na Yanga🤣Mama kubwa bana🤣
Hii nzuri sana wapunguze mdomo😁Wamedai hawana cha kupoteza watabaki na Yanga🤣
Baadae usikimbie 😀😃😃😃Uto ndio wanajiona hivyo sisi wala hatupo huko, mlifikia wap sakata la kagoma au amegoma ?