choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Kila la heri mnyama japo tunakuaga sana na kitete ugenini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wenye akili wachache sanaaaaa.Simba msituaibishe. Huko penalty za mazabe hamna, pambaneni na Hali yenu.
wale ni kawaida yao maana hata Kaseja ashawaweka.Hata tukifungwa, hatuwezi fungwa na golikipa
Kila la heri Simba Sports
Sawa watani ngoja nyie tuone mtafanya nini!,Dua kwenu!🙏Siku ya Mechi Kali.
Mwenyeji: CS Sfaxien FC
Mgeni : Simba SC
Mashindano: CAF CC Group Stage.
Group A.
Uwanja: Stade Olympique Hammadi Agrebi Stadium, Rades, Tunisia.
Tarehe: 05th January 2025
Muda: Saa 1Jioni (EAT)
View attachment 3192821
Baba lao sio kwenye mashindano ya akina mamaIle ya jana ilikua ni gusa achia tulale na wazembe...
Leo ndo mechi ya baba lao wa Tanzania...
...na watu wote waseme aminaaaa!naskia huko simbilisi mavi yanawagonga chupi
mwarabu 2
simbilisi 0
Ubaya ubaya tu wasing'oe viti na huko tunaskia huko simbilisi mavi yanawagonga chupi
mwarabu 2
simbilisi 0
Leo kichapoAsante TFF
View attachment 3193224
Leo kama neutral ground. Hakuna mashabiki. Hii itumike kama advantage .Kila la heri mnyama japo tunakuaga sana na kitete ugenini
Oya fundi hio room ngapi?Mtani apigwe
Watang'oa zegeLeo gusa achia tupate penati wapo uarabuni 😅....
Oya nyie kina Side wakina kibu mbona hamkabi
wasije jaribu mwarabu sio mama samiaUbaya ubaya tu wasing'oe viti na huko tu