Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Muda huu huko jangwani sea breeze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda huu huko jangwani sea breeze
Timu imara ni hawa wa leo...wengine ni waarabu koko...uto mliocheza nao...Ki
Kumbe Leo ndio mmevunja, mmevunja rekodi Leo🤣🤣, wenzenu walishaga toka uko, walishashinda dhidi ya timu imara sio hao waarabu wa mlingotini!
Msyuuuu.....😂🤣😅
Kwa kuwa wewe ni mama tamba hayo ni mashindano yenu mrembo wangu
Safari hii wanywe supu ya magoli ya Mzize huku wakiburuza kwenye kundi Lao🤣🤣Hizo timu za cafcl zilizobaki zisituangushe sasa, yani zihakikishe siyo tu yanga anaishia makundi bali aishie makundi huku akiburuza mkia, mazembe naye ajitahidi ashinde hata mechi moja tu ili arudi nafasi yake ya tatu
Huko umamani huna maombi ya kuelekeza hukoHizo timu za cafcl zilizobaki zisituangushe sasa, yani zihakikishe siyo tu yanga anaishia makundi bali aishie makundi huku akiburuza mkia, mazembe naye ajitahidi ashinde hata mechi moja tu ili arudi nafasi yake ya tatu
Kama MAZEMBE tuHii timu inagawa utamu kwa kila timu hakuna timu hapa
Hiyo milio yenu ni trailer tu nawaambia, siku mtakapotolewa cafcl ndio tutaona movie kamili ya hiyo milio, na mtaueleza umma mliingiaje kwenye hayo mashindanoHuko umamani huna maombi ya kuelekeza huko
Mwarabu kapigwa nje ndaniNachofurahi wana nzengo wenzangu wa ubaya ybwela ni kuwaaaa tumempiga mwarabu... na waarabu koko wa jangwani
CAFCL wameingizwa kiujanja ujanja na kayoko na arajiga.Hiyo milio yenu ni trailer tu nawaambia, siku mtakapotolewa cafcl ndio tutaona movie kamili ya hiyo milio, na mtaueleza umma mliingiaje kwenye hayo mashindano
Pesa tuliopata group stage ya CAFCLHiyo milio yenu ni trailer tu nawaambia, siku mtakapotolewa cafcl ndio tutaona movie kamili ya hiyo milio, na mtaueleza umma mliingiaje kwenye hayo mashindano
mkuu sasa mpira umechezwa hakuna hata shangwe yaani ni kibubu bubu hata mtangazaji hana mzuka kuna mpira mpira hapo ama kuchoshanaKomenti za Utpolo utazijua tu. Mijitu imejaa wivu wa kipuuzi tu. Hovyo kabisa.
kwamba shirikisho una toboa unatoka na point 9CAFCL wameingizwa kiujanja ujanja na kayoko na arajiga.
Bahati mbaya sana huko hawapo wa kuwabeba.
Huko umbumbumbuni wanatamba na shirikisho yaani mashindano ya akina mamamkuu sasa mpira umechezwa hakuna hata shangwe yaani ni kibubu bubu hata mtangazaji hana mzuka kuna mpira mpira hapo ama kuchoshana
Tena ndiyo yaliyowatambulisha kimataifa. 😂😂Wanatamani kusema simba wameshinda sababu mwenyeji hakuwa na mashabiki, ila wakikumbuka wao walishenyentwa mbili kwa nunge huku mwenyeji wao naye akiwa hana mashabiki, wanabaki kujifariji tu na kauli yao ya mashindano ya kina mama