FT: CS Sfaxien FC 0-1 Simba SC | CAF CC | Stade Olympique Hammadi Agrebi | 05.01.2025

FT: CS Sfaxien FC 0-1 Simba SC | CAF CC | Stade Olympique Hammadi Agrebi | 05.01.2025

Muda huu huko jangwani sea breeze
rn.jpeg
 
Wanatamani kusema simba wameshinda sababu mwenyeji hakuwa na mashabiki, ila wakikumbuka wao walishenyentwa mbili kwa nunge huku mwenyeji wao naye akiwa hana mashabiki, wanabaki kujifariji tu na kauli yao ya mashindano ya kina mama
 
Hizo timu za cafcl zilizobaki zisituangushe sasa, yani zihakikishe siyo tu yanga anaishia makundi bali aishie makundi huku akiburuza mkia, mazembe naye ajitahidi ashinde hata mechi moja tu ili arudi nafasi yake ya tatu
 
Hizo timu za cafcl zilizobaki zisituangushe sasa, yani zihakikishe siyo tu yanga anaishia makundi bali aishie makundi huku akiburuza mkia, mazembe naye ajitahidi ashinde hata mechi moja tu ili arudi nafasi yake ya tatu
Safari hii wanywe supu ya magoli ya Mzize huku wakiburuza kwenye kundi Lao🤣🤣
 
Hizo timu za cafcl zilizobaki zisituangushe sasa, yani zihakikishe siyo tu yanga anaishia makundi bali aishie makundi huku akiburuza mkia, mazembe naye ajitahidi ashinde hata mechi moja tu ili arudi nafasi yake ya tatu
Huko umamani huna maombi ya kuelekeza huko
 
Hiyo milio yenu ni trailer tu nawaambia, siku mtakapotolewa cafcl ndio tutaona movie kamili ya hiyo milio, na mtaueleza umma mliingiaje kwenye hayo mashindano
Pesa tuliopata group stage ya CAFCL
Huko umamani huwezi pata hata ufike final
CAFCL ina hadhi kubwa
Usipende kujilinganisha na CAFCL wakati timu lako lipo mashindano ya akina mama
 
Komenti za Utpolo utazijua tu. Mijitu imejaa wivu wa kipuuzi tu. Hovyo kabisa.
mkuu sasa mpira umechezwa hakuna hata shangwe yaani ni kibubu bubu hata mtangazaji hana mzuka kuna mpira mpira hapo ama kuchoshana
 
mkuu sasa mpira umechezwa hakuna hata shangwe yaani ni kibubu bubu hata mtangazaji hana mzuka kuna mpira mpira hapo ama kuchoshana
Huko umbumbumbuni wanatamba na shirikisho yaani mashindano ya akina mama
 
Back
Top Bottom