FT: Dodoma Jiji 0-2 Yanga | Ligi kuu NBC | Liti

FT: Dodoma Jiji 0-2 Yanga | Ligi kuu NBC | Liti

Watoto na wajukuu zetu watakuwa wanauliza kwani huyu ni nani?
Kisha wanaenda kumfuatilia alikuwa anafanya nini uwanjani, wataiga tutapata washambuliaji bora miaka ijayo.
Kama yule dogo Mziza alivyo sema anajifunza kwa Mayele.
Tumechoka kuburuzwa kwenye timu zetu za taifa.
Hatatokea kama John Rafael Bocco kwa kizazi cha hivi karibuni...mzawa mwenye hatari zake mjini anazeeka na ubora wake.
Huyo Mayele ni mkongo atarudi kwao
 
Hapa ni uwanjani siyo clinic kadi ya nini mbona hamkuidai kwa inonga alivyo cheza rafu ya kijinga.
 
Back
Top Bottom