Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kwani huo ushindi wako unamdolishia nani kama sio Simba?Tuji-compare na Simba? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa KIPI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huo ushindi wako unamdolishia nani kama sio Simba?Tuji-compare na Simba? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa KIPI?
Umekula kiasi gani cha ngada leo?Mbeleko FC
Upooo.Mayele ajengewe sanamu kubwa pale Karume ofisi za TFF na pale roundabout ya UHURU Kariakoo.
Watoto na wajukuu zetu watakuwa wanauliza kwani huyu ni nani?Upooo.
Msipoteze rasilimali buree
Hatatokea kama John Rafael Bocco kwa kizazi cha hivi karibuni...mzawa mwenye hatari zake mjini anazeeka na ubora wake.Watoto na wajukuu zetu watakuwa wanauliza kwani huyu ni nani?
Kisha wanaenda kumfuatilia alikuwa anafanya nini uwanjani, wataiga tutapata washambuliaji bora miaka ijayo.
Kama yule dogo Mziza alivyo sema anajifunza kwa Mayele.
Tumechoka kuburuzwa kwenye timu zetu za taifa.
Sizitaki mbichi hiziWorld cup ndo mpango mzima... achana na hizi patu patu za kina Mayele
Twende kwenye zilizoiva tuka watch futiboliSizitaki mbichi hizi
Siyo ng'ombe? Tusijisahau utopolo.. tumzawadieni angalau mihogo.Mayele ajengewe sanamu kubwa pale Karume ofisi za TFF na pale roundabout ya UHURU Kariakoo.
Kijiko tu MaalimUmekula kiasi gani cha ngada leo?
Kesho kuna kiporo kinaenda kuchacha pale Sokoine Mbeya! Mark my word.Hivyo viporo si wavimalizie tuu au ndo janja janja hizi za kuforce ubingwa
Kumbe ngada kesho inauzwa sokoine?Kesho kuna kiporo kinaenda kuchacha pale Sokoine Mbeya! Mark my word.
Ni huzuni kwa kweliUkiachana na maumivu ya Unbeaten kuna maumivu ya magoli ya Mayele Makolo wanayapata [emoji1787][emoji1787][emoji172][emoji169]
Huyo Kalpana namuongezea 5 nyingine aamkie Qatar huko 😁😁Yani hilo halina shida, Evelyn Salt njoo tuyajenge, tufurahie Yanga yetu na World cup.
Na nyie si mbebwe kwani tumewakataza 😁Mnabebwa hahahahaah
Subiri utaonaNa nyie si mbebwe kwani tumewakataza 😁