ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Yanga iwe inacheza dakika 120 hizi 90 tunapujwa burudani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mashabiki wa Yanga mnamatatizo kichwaniMwaka huu lazima Simba mpate miscarriage kwa wivu na uzandiki mlionao kwa maendeleo ya Wengine. Mnadhani nyie ndio wenye hati miliki na mpira Nchii hii. Mxuuuuuuuuuuuuu...
Utawaonea wivu wacheza muvi?Mwaka huu lazima Simba mpate miscarriage kwa wivu na uzandiki mlionao kwa maendeleo ya Wengine. Mnadhani nyie ndio wenye hati miliki na mpira Nchii hii. Mxuuuuuuuuuuuuu...
Maumivu yakizidi tetema mara tatuKuifunga kamba lbda
Pole Sana,Hali ni hiyo kwa miaka kumi ijayoUtawaonea wivu wacheza muvi?
Simba anacheza soka,achana na hizo mechi za maigizo
Kutikisa nyonyo tuwaachie kina dadaMaumivu yakizidi tetema mara tatu
Uzuri nyie pia mnashiriki kwenye hio muviUtawaonea wivu wacheza muvi?
Simba anacheza soka,achana na hizo mechi za maigizo
Huogopi kuuliza matokeo! Yanga inaogopesha aisee! The unbeaten again!!!Sidanganyikiiii ng'ooooo 😆 😆 😆 😆
Kwani ngapi ngape huko
Sasa niogope nini wee mzee jamani. Magoli 2 tuuuu yani 2 tuuuuu aaacha bwanaHuogopi kuuliza matokeo! Yanga inaogopesha aisee! The unbeaten again!!!
Utawaonea wivu wacheza muvi?
Simba anacheza soka,achana na hizo mechi za maigizo
Kutikisa nyonyo tuwaachie kina dada
Nimekutoa kwenye kundi la mbumbumbu,nadhani jf ikutambue kama mwana jf mwenye akili mingi.Goli zuri