Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka tu maneno ya Rage, utakuwa ushapata majibu mkuu.Kuna Kolo Anaitwa Ghazwat Alisema Mayele Hawezi Kufikisha Hata Goli 9 Msimu Huu [emoji28]
Simba ya kwanza, ni tawi la Yanga, record zinaongea zenyewe.Tuorodheshee timu zote ambazo ni matawi ya Yanga na ambazo sio matawi tufanye tathimini
Ila sipendiMtani naona unaanza kuja kuja. Lol
Hao ni wa kuhurumia tuKuna Kolo Anaitwa Ghazwat Alisema Mayele Hawezi Kufikisha Hata Goli 9 Msimu Huu [emoji28]
Hapa hamna refa, refa una balance balance sehemu ya red card?
Ndio lazima wafungwe. Hebu washa tv hapo umwone malaika anavyofunga magoliYanga lazima wafungwe Leo kama Argentina tu
MirefuMikia ipi
Sina muda wa kuangalia maigizo niko na shemeji yako bampiga mabao ya ukweli dimba la sita kwa sitaAcheni kutizama mechi za Yanga kwani zitaendelea kuwaumiza kila siku.Sababu mnalolitamani litokee halitokeu na halitotokea.
Si issues ya fixed mechi tualianza tokea ngao ya jamii. Tukakufix na wewe viwili.
Hamieni BurundiSina muda wa kuangalia maigizo niko na shemeji yako bampiga mabao ya ukweli dimba la sita kwa sita
Huna muda ila kwenye uzi unachangia, so muda wakuufuatilia uzi huu unao so ni vilevile bado unafuatilia mechi ya Yanga kupitia JF.Sina muda wa kuangalia maigizo niko na shemeji yako bampiga mabao ya ukweli dimba la sita kwa sita
Unaiona?Mirefu
Kwa Yanga hii huyu atakula sumu. Kibaya zaidi na Mayele anatupia tena?,atapasukaKuna Kolo Anaitwa Ghazwat Alisema Mayele Hawezi Kufikisha Hata Goli 9 Msimu Huu [emoji28]
Kama unaona ni rahisi kuifunga Yanga leta timu yako
Wote hao wameshapigwa, labda uwalete Barcelona.Kama unaona ni rahisi kuifunga Yanga leta timu yako
Kama unaona ni rahisi kuifunga Yanga leta timu yako