FT: Dodoma Jiji 0-2 Yanga / Uwanja wa Jamhuri / Dodoma / Ligi Kuu Bara

FT: Dodoma Jiji 0-2 Yanga / Uwanja wa Jamhuri / Dodoma / Ligi Kuu Bara

Pole kwa kutafuta visingizio.
Nilikua nafuatilia mpira kipindi hicho,ambapo inawezekana ulikua hujazaliwa,na ule mchezo wa kutoka na mipira 30 hapa,mkirudi na mpira mmoja,yakazuka maneno kwamba Kuna vitu vinawekwa ndani ya mpira kwenda kuuzwa nje,1995 akina dewji wakaiacha timu
 
Nilikua nafuatilia mpira kipindi hicho,ambapo inawezekana ulikua hujazaliwa,na ule mchezo wa kutoka na mipira 30 hapa,mkirudi na mpira mmoja,yakazuka maneno kwamba Kuna vitu vinawekwa ndani ya mpira kwenda kuuzwa nje,1995 akina dewji wakaiacha timu
Nimeanza kuangalia world cup 1998 ila nafuatilia soka tangu 1995. Simba ni timu kubwa sana afrika hapa. Usiifananishe na hicho kiutopolo.
 
Nimeanza kuangalia world cup 1998 ila nafuatilia soka tangu 1995. Simba ni timu kubwa sana afrika hapa. Usiifananishe na hicho kiutopolo.
1995 simba na yanga vibe limeisha,hapo ni vyama vingi,mrema,marando..Simba na yanga huko njaa hatari,dewji na ghulamali wamezikimbia timu,ghulamali kawa mbunge
 
Simba katolewa raundi ya pili klabu bingwa na alishinda ugenini akafungwa nyumbani, Tena alitoka kwa sheria ya away goal.

Yanga alitolewa raundi ya kwanza kombe la shirikisho tena kwa kufungwa nje ndani.
Huko CAF kuna tofauti kati ya awali na kwanza, yanga katolewa raundi ya awali na simba katolewa raundi ya kwanza
 
Nimeanza kuangalia world cup 1998 ila nafuatilia soka tangu 1995. Simba ni timu kubwa sana afrika hapa. Usiifananishe na hicho kiutopolo.
Kwahiyo wakati Simba inataka kushuka daraja ikaokolewa na Yanga mechi ya mwisho ulikuwa hujazaliwa? Pia siku Simba wamegoma kuingiza timu kipindi cha pili na kuweka mpira kwapani kwenye mechi ya Simba na Yanga mama yako alikuwa hajapata mimba yako?
 
Kwahiyo wakati Simba inataka kushuka daraja ikaokolewa na Yanga mechi ya mwisho ulikuwa hujazaliwa? Pia siku Simba wamegoma kuingiza timu kipindi cha pili na kuweka mpira kwapani kwenye mechi ya Simba na Yanga mama yako alikuwa hajapata mimba yako?
Kuwa na adabu kijana.
 
Back
Top Bottom