Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ushindi wa leo ni reminder kwa makolo kuwa Yanga ni bingwa 2021/2022
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakutana kwenye uzi wa siku hiyo nabi na kaze wakiwa airport.Yaan baada ya mechi hiyo mda kama huu Pablo kutoka Real Madrid atakuwa na ticket yake ya kuelekea Spain.
Sisi atukupigi nyingi kama Ngao biashara imeisha.
Hata Mimi nimepotea kama wewe.Hii mechi mi najua inachezwa saa 1 kumbe imeshachezwa saa 10?
Pole sana kwa maumivu unayopitia, ushindi wa leo ni ukumbusho kuwa Yanga tuna jambo letuPCCB wachunguze hii mechi,kipa kaacha goli wazi kabisa
Huyu simba wa caf huko caf amewahi Fanya nini la maanaAcha kumfananisha Simba wa caf na vitu vya ajabu ajabu.😂
Goal la Ambundo limetubeba leo, goal ambalo ukienda nalo kituo chochote cha mafuta unajaziwa kwa nusu beiUtopolo laini sana bila kubebwa
Watakwambia wamechukua kombe la robo fainaliHuyu simba wa caf huko caf amewahi Fanya nini la maana
Umepatia lakini unatesekaKila la kheri Dodoma Jiji.
Nimeota leo kuna timu itashinda 2:0
Bann inakuitaNdugu Dodoma jiji umetumiwa sh ...kutoka GSM muamala number 87GGJSVDG78 . Salio lako jipya ni....
Moloko siyo mchezaji wa kawaida,Moloko sijui wanampendea nini mpk kuanza leo.
Alikuwepo kwaajili ya kuwafanya mabeki wa timu pinzani wa concentrate kwake halafu wengine wafungeKwani leo Mayele hakuwepo uwanjani?
Fainali miaka ya tisini na robo fainali nyingi sana miaka ya elfu mbili.Huyu simba wa caf huko caf amewahi Fanya nini la maana
Hongera kwa kupatia ilaKila la kheri Dodoma Jiji.
Nimeota leo kuna timu itashinda 2:0
Simba wa caf alicheza mechi mbili champions ligi akatolewa,yanga wa hovyo alicheza mechi mbili akatolewaAcha kumfananisha Simba wa caf na vitu vya ajabu ajabu.😂
1993 Simba alipofika fainali,timu nyingi zilijitoa njiani kwa kukosa nauli ya kuja darFainali miaka ya tisini na robo fainali nyingi sana miaka ya elfu mbili.
Yaan ushindi ni robo fainal hahahahaFainali miaka ya tisini na robo fainali nyingi sana miaka ya elfu mbili.
Nimecheka sana1993 Simba alipofika fainali,timu nyingi zilijitoa njiani kwa kukosa nauli ya kuja dar