zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
Daa wamempa kolabo Moja matata kila akishika mpira wanampa vyomboWachezaji wa Dodoma wamempania Bangala ili awe nje msimu mzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daa wamempa kolabo Moja matata kila akishika mpira wanampa vyomboWachezaji wa Dodoma wamempania Bangala ili awe nje msimu mzima
Mi Naona Ni Saa Zote Mkuu [emoji23]Hahahaa. Ila kuna saa kanauzi.
Sisi tunasemaje tunawataka wao nusu fainali kule FA,maana huku oigi hili tushabeba tunasubiri ratiba tu ya kunyanyua kwapaKwani uto wanasemaje...?
Chukwu emeka
Its Pancho Tate Mkuu zipompa ukikaidi utapigwa2 CHAMASON-MORISON-SAKHOSON
Mngeshinda mechi zenu hizi taabu msingezipataPCCB wachunguze hii mechi,kipa kaacha goli wazi kabisa
Mnanunua game kwa bahasha halafu mkienda caf mnapigwa mbele nyuma, nje ndani.
kwa taarifa tu dodoma jiji makipa wote wamejifunga anzia namba 1-3 ila huyu ndo kafanya kusudiPCCB wachunguze hii mechi,kipa kaacha goli wazi kabisa
Wapumbavu walikuwa na viporo 10+ anaenda cheza mechi na timu imeshashuka daraja daaah TFF WAPUUZI SANAHaya haya wazee wa Viporo FC, TFF na Karia wamesema msimu ujao, mtaanza kucheza mechi ya kwanza baada ya timu zote kucheza mechi 10,ili mtengenezewe Viporo mapema ila MSIMU HUU VIPORO HAMNA.
Uto wala wasiwe na wasiwasi, watakula 4 kama za kipindi kile.
Ulionao shughuli tuliyofanya? Tulitoka kwa matuta kiume haswa, tena robo fainali.Kwani nyie mko Fainali sasa? Au mlishiriki tu?
Yanga 3points ndiyo muhimu
Hii mechi mi najua inachezwa saa 1 kumbe imeshachezwa saa 10?
Yanga kacheza mechi ngapi champions ligi na Simba kacheza ngapi!?Simba katolewa raundi ya pili klabu bingwa na alishinda ugenini akafungwa nyumbani, Tena alitoka kwa sheria ya away goal.
Yanga alitolewa raundi ya kwanza kombe la shirikisho tena kwa kufungwa nje ndani.
Yaan baada ya mechi hiyo mda kama huu Pablo kutoka Real Madrid atakuwa na ticket yake ya kuelekea Spain.Uto wala wasiwe na wasiwasi, watakula 4 kama za kipindi kile.
Hahaha pole sana mwenzio kala 2 swafiiiii, umesikia kocha wako analalamika kukutana na yanga nusu anaomba akutane na geitaHii mechi mi najua inachezwa saa 1 kumbe imeshachezwa saa 10?
Kuna Wachezaji Wawili Sio Wa Kukaa Benchi Kwasasa, Sureboy Na Farid MusaSure boy upande wa kukaba na passi yuko vyema Bado tu kunyoosha mguu ila jamaa anaujua sana
Acha kumfananisha Simba wa caf na vitu vya ajabu ajabu.😂Yanga kacheza mechi ngapi champions ligi na Simba kacheza ngapi!?