mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
caf wamejibu barua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badocaf wamejibu barua.
Nashauri waje jangwani wasaidie kazi ya ujenzi wa uwanja... au tff wawaajiri kwa ajili ya kuokota mipira wakati wa mechi kwa mkapaNi mawazo yangu lakini..
Hakuna kazi nyingine tanaweza kuwapangia hawa wachezaji wa Simba SC Tanzania tofauti na Kucheza mpira?
Je kazi Gani inaweza kuwafaa wachezaji wa kolo fc??
AaaaminKila la kheri Dar Young Africans 👋
Wameshaanza kushauriana waikimbie mechi.... Soma hapaLeo haya ni Mazoezi tu kwa ajili ya kuwaadhibu mbumbumbu tarehe 20
TayariBado
🖐GKila la kheri Dar Young Africans 👋
Ushauri mzuri kwa makolo wote,wajitume kusajili,kufanya mazoezi na kuwekeza na sii ujanja ujanja na kucheza mpira mdomoni,kama semaji na bosi ya timu☺️Kw
Kwanza unaonesha huna malezi mazuri kwa matusi yako hapa. Umelazimishwa na nani kuishabikia? Jiondoe kimyakimya.