kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
JenShereahuaa Kafunga bonge La Penati....teh teh teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha alaah, kumbe.😆😆🤣🤣 hiyo Miko ya kukoroga nya kule nyuma hawawezi kuichomoa. Wenyewe wanakwambia wanasikia rahaaaa.
Alisema ni GOLIKipyenga cha mwisho alikataa kusema ni goli ama si goli
5imba ni kama founten gate, akili kisoda, league ainzagi hivoUbinafsi na untimely decision imetugharimu ushindi huu mwembamba
Shabiki mandazi. Naona Chama amekuwa tegemeo lenu utopolo.Hamna penalty pale, kolo kabebwa hilo liko wazi .
Ngoja kama Kuna anahitaji king'amuzi Cha azam nimpe bure5imba ni kama founten gate, akili kisoda, league ainzagi hivo
Mwandishi akamuuliza amekwepa mtego... Akasema ndiyo.Alisema ni GOLI
Tunaongelea goli la mchongo, hao kina chama na pakome ndio kina nani hapo masimbazi?Shabiki mandazi. Naona Chama amekuwa tegemeo lenu utopolo.
Mlivyokuwa na akili mbovu mkasema Pacome bora. Sasa chama ndo tegemeo.
Yule jamaa hakukosea kuhusu watu wawili tu huko kwenu.
Yamekuwa hayo!!!Cha msingi tumeshinda.
Hayo mengine ni Shauli Lao
Mechi ya pili mfulululizo Simba Ina sababisha marefa wadhalilike. Makosa ya kibinadamu yamekua yakiongezeka.Yamekuwa hayo!!!
Njoo na wewe nikubebe basi, au nikupakate kabisa?Hamna penalty pale, kolo kabebwa hilo liko wazi .
Uko wapi ??Njoo na wewe nikubebe basi, au nikupakate kabisa?
Njoo huku juu tuchek movie za ki P didyUko wapi ??
Wewe hujui unaweza kucheza foul hata baada ya kuucheza mpira?Tunaongelea goli la mchongo, hao kina chama na pakome ndio kina nani hapo masimbazi?
Hamna foul pale wewe kijana, dogo kacheza boli chezaji lenu likajirusha kama kiroba.Wewe hujui unaweza kucheza foul hata baada ya kuucheza mpira?
Hata ukigusa mpira kwanza ukimuodoa stand mpinzani ni foul. Nukta.
Endelea kujifunza.
Wewe ni p didy?? muhasibu hayo mambo ni kharamNjoo huku juu tuchek movie za ki P didy
Ile mechi wewe uliitizama kupitia kitu ama device gani?Hamna foul pale wewe kijana, dogo kacheza boli chezaji lenu likajirusha kama kiroba.
Refa kuona vile akaona enheee hii ndo fursa ya kulamba laki tano toka kwa tajiri, chap akafunika tuta.
Televisheni kwa kisimbuzi cha azamIle mechi wewe uliitizama kupitia kitu ama device gani?