FT: DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

FT: DR Congo 1 - 0 Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024

Kocha hana sub nzuri
Hana sub nzuri ama hana wachezaji wazuri nje?!

Kweli tumepiga hatua, ila wachezaji wazuri wanaoweza kucheza na kufuata maelekezo ya mwalimu hatuna kabisa.

Ligi yetu inabebwa na wachezaji wa kigenj.
 
Hana sub nzuri ama hana wachezaji wazuri nje?!

Kweli tumepiga hatua, ila wachezaji wazuri wanaoweza kucheza na kufuata maelekezo ya mwalimu hatuna kabisa.

Ligi yetu inabebwa na wachezaji wa kigenj.
Ligi yetu iko juu, swala hapa ni benchi bovu la ufundi.
 
Hii ishakua academy size ya ndondo fc .sio timu ya taifa
 
Back
Top Bottom