Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Sawa mkuuDRC wa kawaida sana mbele ya Taifa Stars, yaani hata wao wameshindwa kushangilia, sbb wanajua kabisa hii mechi ni kama draw tu, sasa tunawasubiria kwa Mkapa Stadium tar 15 Oct..!! Hawa wakongo kwa Mkapa hawatoki hata kidogo.
Tusiwaachie waharibu Mpira wetu. Lazima sisi Wazalendo tuwazidi kwa kuonesha Mpira si mali ya Wana CCM pekee.Angalau tunaweza kupumua Leo maana machawa WA mama na CCM wamevamia mpira wetu! Acha tufungwe Tu!
Bado tuna mambo ya mmetufunga lakini chenga twawala. Hii timu kufunga magoli hatuwezi kabisa siku hizi. Nadhani tufungue academy moja ya washambuliaji tu tuzalishe kizazi kipya cha washambuliaji.Hata kama STARS wakifungwa leo...cjaumia coz tumepishana vizuri na DRC...
GOOD DEFENDING, midfield...
Makosa ya goal siwezi kuwavunja moyo...
Mi binafsi nisingeweza kuichezea timu ya Tamzania wala kuwa kocha! WaTanzania wamejaa lawama sana na ujuajiILa Watanzania..!
Lawama zitarudi Kwa Makocha
AfrikaLabda hawana haki za kuonesha. Lazima kama ingekuwa inaruhusiwa Azam angetia timu tu
kwa hiyo mlikuwa mnatuhadithia after party au?Mpira umeisha banaa aa😀😀😀😀😀
Ulibeti? Maana si kwa furaha hizo.
😄😀😃
Eee tulinogewa aisee😃😃😃kwa hiyo mlikuwa mnatuhadithia after party au?
Mkuu naelewa hilo, ila maji yameishazidi unga! Mpira umegeuka jukwaa la siasa!Tusiwaachie waharibu Mpira wetu. Lazima sisi Wazalendo tuwazidi kwa kuonesha Mpira si mali ya Wana CCM pekee.
Sawa mkuu
Msiwe mnaleta kina Samata Wana mikosi na ni liability kwenye Timu,huyo atimuliwe kabisaAlhamis ya leo Oktoba 10, Taifa Stars itakuwa dimba la ugenini ikicheza na DRC, mchezo wa kuwania kufuzu fainali za AFCON 2025 nchini Morocco. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 1:00 usiku
Pia soma ~ Samatta arejeshwa katika kikosi cha Taifa Stars kitakachocheza mechi ya kufuzu AFCON 2025 vs DR Congo
Updates.....
Kipindi cha kwanza cha mchezo kimeanza
Dakika, 9 Mpira upo kasi sana na bado milango ni migumu kwa pande zote mbili
Dakika, 17 Ngoma bado ngumu si Mwenyeji DRC wala si Tanzania
Dakika, 30 Si Stars wa DRC ambaye amepata goli mchezo upo on fire
Dakika 45 za kipindi cha kwanza kimetamatika DRC 0-0
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika, 53 Gooooli DRC wanapata goli la kuongoza
Dakika, 58 Taifa Stars wanafanya mabadiliko anatoka Kibu anaingia Saduni
Dakika, 70 Taifa Stars wanatengeneza nafasi na kumiliki mpira
Dakika, 81 DRC wanashambulia sana dakika hizi
Kuwa na akiba ya maneno, timu yako yenyewe haiwezi kufunga goli zaidi ya 1. Yaani njemba zinajiita kabisa washambuliaji tena mapro zinakimbiakimbia tu kwa lisaa na nusu zinatoka kapaWalishalegea sana tena ni kwao, wamepgopa sana Taifa Stars, umeona jinsi Wakongo hawashangilii wanatoa mimacho kwa uoga, wakija kwa Mkapa tunapiga na kuwapoteza hadi watasema hii ni Taifa Stars au Israel inapiga Lebanon..!! Tunapiga miguu wataacha kwa Mkapa…. Aaaaarrrghhhrrrrr🤬🤬😡😡👺👺👹👹
Inshallah iwe kheriWalishalegea sana tena ni kwao, wamepgopa sana Taifa Stars, umeona jinsi Wakongo hawashangilii wanatoa mimacho kwa uoga, wakija kwa Mkapa tunapiga na kuwapoteza hadi watasema hii ni Taifa Stars au Israel inapiga Lebanon..!! Tunapiga miguu wataacha kwa Mkapa…. Aaaaarrrghhhrrrrr🤬🤬😡😡👺👺👹👹