Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #81
42’ Yellow card mpaka sasa Esp 1-2 Al Ahly
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apewe maua yakeWale wengine hamna kabisa... wanasinzia mno kama huamini nyuzi za usiku unaweza fanya chochote na wasione
Watani zangu hawana hamu walivoenda Cairo almanusura apigwe paktiAkishika kalamu na karatasi kazi kwisha, waulize simba
Pira objec ti veeeMpaka tau Leo analinda goli,jamaa Mpira wa kimehasabu sana,apo wanatafuta goli Moja tu,hawana shida ya goli nyingi sana
Kama uliangalia ya wydad vs shly last season usingehangaika kuangalia ya leo . Ilikuwa ni kama kitayose na mtibwa sugarFainal iliypooza kwa kipindi cha kwanza
Daah🤣🤣Kama uliangalia ya wydad vs shly last season usingehangaika kuangalia ya leo . Ilikuwa ni kama kitayose na mtibwa sugar
KBC 270 wanaonyesha.Dstv wataonesha ?
Hata ZBCTBC wanaonyesha game
Kwa mkapa na lubumbashi huwa anacheza kama beki, wao huwa wanacheza na kanuni waulize TP MAZEMBE kilichowakuta, utamuona vizuri kule CAIROMpaka tau Leo analinda goli,jamaa Mpira wa kimehasabu sana,apo wanatafuta goli Moja tu,hawana shida ya goli nyingi sana
Hii ni uongoTBC wanaonyesha game
Mchawi kanuni, endapo goli la ugenini likiondolewa utashuhudia soka safi kama lile la AFCONGame Haina mvuto wanacheza hovyo hovyo
0-0Ngapi huko