FT: Ethiopia 0 - 2 Tanzania | AFCON QUALIFICATION | Stade des Martyrs - DRC | 16-11-2024

FT: Ethiopia 0 - 2 Tanzania | AFCON QUALIFICATION | Stade des Martyrs - DRC | 16-11-2024

Haya Sasa huku kwetu serikali ya akina MAFWELE na Samia wameshatukatia umeme sijui wanachokimaanisha ni nini hasa?

Hivi wangeacha hizo dk 90 zikaisha ndio wakate umeme wao, kinashindikana nini?

Kweli hili taifa haijawahi kuwa serious na jambo lolote lile
Uko wapi mdau?
 
Kwanini Mechi iko DRC, Ethiopia kuna majanga?
 
Kwanini Mechi iko DRC, Ethiopia kuna majanga?
Mechi ya mwisho kwa Ethiopia itachezewa hapo Congo dhidi ya wakongoman kwahiyo wakaona isiwe tabu hata hii ya Leo ipigwe tu hapohapo Zaire
 
Tuna piga bomu mochwari. Ethiopia ni vibonde kama sisi tu
 
Mechi ya mwisho kwa Ethiopia itachezewa hapo Congo dhidi ya wakongoman kwahiyo wakaona isiwe tabu hata hii ya Leo ipigwe tu hapohapo Zaire
Naona wameona hawana Cha kupoteza, Bora wale posho tu. Ethiopia ndio Wana shirika la ndege Bora barani Afrika Linafika karibia kila sehemu, sioni sababu za wao kuwahi Kongo zaidi ya posho za safari.

But it is what it is! Bonge la advantage Kwetu Wabongo.
 
Haya sasa tupate kelele za mama anaupiga mwingi
 
Back
Top Bottom