MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Msuva anatafuta na timu January haipo mbali usajili unakaribia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bamutu ba congo ndugu zetu wale lazima wamchape guineaGame itakayotuua ni dhidi GUINEA, STARS akifuzu nipgwe ban ya maisha(natania).
Uko wapi mdau?Haya Sasa huku kwetu serikali ya akina MAFWELE na Samia wameshatukatia umeme sijui wanachokimaanisha ni nini hasa?
Hivi wangeacha hizo dk 90 zikaisha ndio wakate umeme wao, kinashindikana nini?
Kweli hili taifa haijawahi kuwa serious na jambo lolote lile
Huu ndio Ujinga Ulio Tawala TanzaniaTuambiwe mapema Samia anacheza namba ngapi. Maana mwishoni pongezi zitaenda kwake
Bila shaka umewabetiaEthiopia wanacheza kishoga Sana. Very stupid
Mechi ya mwisho kwa Ethiopia itachezewa hapo Congo dhidi ya wakongoman kwahiyo wakaona isiwe tabu hata hii ya Leo ipigwe tu hapohapo ZaireKwanini Mechi iko DRC, Ethiopia kuna majanga?
Kwani wana uwanja uliokidhi vigezo vya CAF?Kwanini Mechi iko DRC, Ethiopia kuna majanga?
Usijali kawaida tu.Thanks
Naona wameona hawana Cha kupoteza, Bora wale posho tu. Ethiopia ndio Wana shirika la ndege Bora barani Afrika Linafika karibia kila sehemu, sioni sababu za wao kuwahi Kongo zaidi ya posho za safari.Mechi ya mwisho kwa Ethiopia itachezewa hapo Congo dhidi ya wakongoman kwahiyo wakaona isiwe tabu hata hii ya Leo ipigwe tu hapohapo Zaire
Kichwa Cha mwenda wazimu kama saa mbovu,Kuna wakati saa mbovu inasema ukweliMungu KIbariki Kichwa cha Mwendawazimu Hivyo Hivyo
Sina uhakikaKwani wana uwanja uliokidhi vigezo vya CAF?
🤣🤣🤣🤣umekula mkuu..?🤣