CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Bado WANAAMINI ATAENDELEA kuwa yanga msimu ujao.
Akili ZETU mashabiki WA Yanga ni vituko.
Akili ZETU mashabiki WA Yanga ni vituko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😂🤣😂🤣 sawa afsa ugavi. Kwa hiyo uwanja mzima uliojaa wagabon umetetema leo.Punguza makasiriko, wenzako tuna angalia boli huku tunashushia na whisky, wahi ukale kesho baniani anakungoja akusurubu, usitufuatishe wenye government bond.
Acha ujuha Mayele si Yanga tenaSasa takwimu za Mayele zinahamia National team, anaifungia Congo goli la pili, goli kama hili linapatika Uefa tu na world Cup.
Game is on.
Jamila analia heeee!!😀😀😀Mayele sio mchezaji wa Yanga tena
Government bond Mimi ni investor siyo Mtumishi wa serikali.🤣😂🤣😂🤣 sawa afsa ugavi. Kwa hiyo uwanja mzima uliojaa wagabon umetetema leo.
Mayele akirudi anarudi na barua ya kuvunja mkataba.
Kweli kahadithiwa, tena kahadithiwa na watu wanaodhani Mayele anachezea Gabon. Usikute uto hawajui hata mungu wao anatokea nchi gani.Huyu kaona livescore kama mimi au pengine kwenye magrupu ya Uto wamempa taarifa.
Na Gongowazi wanavyopenda sherehe usikute kesho wakafanya Parade kwa ajili ya hii kitu
Afu ni investor sio investerGovernment bond Mimi ni invester siyo Mtumishi wa serikali.
Hakuna Mtumishi mwenye jeuri ya kuinvest government bond.
Yanga hakuna vichaa kama wewe.Bado WANAAMINI ATAENDELEA kuwa yanga msimu ujao.
Akili ZETU mashabiki WA Yanga ni vituko.
Umetisha sana ila hilo somo ulilosomea hiyo government bond bado haujalisapua unakuja kutusumbua hapa.Government bond Mimi ni invester siyo Mtumishi wa serikali.
Hakuna Mtumishi mwenye jeuri ya kuinvest government bond.
Unaona ajabu Inonga kutetema? Wote hao ni wakongo hawana ushabiki wa Simba na YangaView attachment 2661839
Yes ni yule yule mwamba haswa Fiston Kalala Mayele chuma cha pili kwa [emoji1078]
Hakika Inonga huwa anamiss sana kutetema leo katetema vizuri kuliko hata Mayele mwenyewe
Haaaaa! Ina maana mchizi muda wote huo anajua Mayele yulo Gabon?Kweli kahadithiwa, tena kahadithiwa na watu wanaodhani Mayele anachezea Gabon. Usikute uto hawajui hata mungu wao anatokea nchi gani.
Maana kama alikuwa anajua Congo anaongoza halafu akaambiwa Mayele kafunga, inakuwaje adhani goli la Mayele ni la kusawazisha 🤣😂🤣Haaaaa! Ina maana mchizi muda wote huo anajua Mayele yulo Gabon?
Sometimes unaona Iddi Amin alikuwa sahihi
Inonga ndiyo itakuwa kampigia chapuo huyo Mayele kwa kocha ampe nafasi, bila hivyo mbao ndefu ingekuwa inamuhusu.Ila uongo dhambii, inonga katetema bhanaa, kushinda wenginee wotee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacongo wanatetema tyuuh huko, kiukweli bao ni zuri na la kiufundi, nimependa alivyochezesha miguu kumuhadaa beki wa Gabon, akafumua shutii kitu ndanii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mayelee km mayeleeee.