Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
- #81
Hakuna ubaya wowote, ila nimestaajabu style wameikariri vizuri sana, hakika style ya Mayele ni very unique.Shida ukishakuwa utopolo hata akili za kuombea maji unakosa. Jibu swali kuna ubaya gani inonga akitetema na mayele?
Hili ukubali usikubali lakini ndani ya nafsi yako unalitambuwa hili.