FT: Fiston Mayele anawainua Wacongo hapa, Gabon 0 DRC 2

FT: Fiston Mayele anawainua Wacongo hapa, Gabon 0 DRC 2

Maana kama alikuwa anajua Congo anaongoza halafu akaambiwa Mayele kafunga, inakuwaje adhani goli la Mayele ni la kusawazisha 🤣😂🤣
Fact

Gongo ya shilingi ni hatari jamaa anajaribu kukiongopea kichwa kwa kutumia chupa ya whisky kunywea Gongo ili kichwa kiwe kinafikiria hii stimu ni ya whisky
 
Ila uongo dhambii, inonga katetema bhanaa, kushinda wenginee wotee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wacongo wanatetema tyuuh huko, kiukweli bao ni zuri na la kiufundi, nimependa alivyochezesha miguu kumuhadaa beki wa Gabon, akafumua shutii kitu ndanii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mayelee km mayeleeee.
Agiza soda hapo ulipo.
 
Back
Top Bottom