Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #61
Ni biashara ya soccer, kawaida tu ili mradi club inufaike.jamaa ni hatari sana,yanga washakubali ni bora aende tu
top class striker in AfricaSasa takwimu za Mayele zinahamia National team, anaifungia Congo goli la pili, goli kama hili linapatika Uefa tu na world Cup.
Game is on.
๐ฌSasa takwimu za Mayele zinahamia National team, anaifungia Congo goli la pili, goli kama hili linapatika Uefa tu na world Cup.
Game is on.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi huwa mnaangalia mpira kwa kutumia nini, hilo goli Gabon wamepatia wapi? Kama hadi hilo mnakosea tuwaamini vipi kwenye maoni ya performance ya mchezaji?
Halafu Mwamedi ikifika mida flani anasema hajawahi kumwangalia Mayele, kumbe anatetema kimya kimya sebuleni kwake. Kanjibai bwana janja janja sana.Yuko benchi lakini ametetema kwa vibe lote.
Kumbe hata Mwamedi usikute anatetema SAA hizi.
Na mpira umekwisha Full time DRC 2 Gabon 0
Jana baada ya goli la pili, na hata baada ya mchezo kumalizika; wachezaji wote wa Dr Congo waliungana na Mayele kutetema!Nasikia Varane wetu naye anatetema uko kumbe anataminig akiwaona Utopwinyo wanatikisa tirries
Timu nzima ilishangilia na mayele ile style yake ya kutetemaJana baada ya goli la pili, na hata baada ya mchezo kumalizika; wachezaji wote wa Dr Congo waliungana na Mayele kutetema!
Hakika llikuwa ni jambo la kushangaza sana.
Wewe kweli kilaza yaani wachezaji kushangilia goli walilofunga ni jambo la kushangaza?Jana baada ya goli la pili, na hata baada ya mchezo kumalizika; wachezaji wote wa Dr Congo waliungana na Mayele kutetema!
Hakika llikuwa ni jambo la kushangaza sana.
Kwani ukikiri kuwa Inonga katetema,unapungukiwa na nini!?Kwa ujinga huu ipo siku mudathir atafungia goli stars halafu mzamiru na zimbwe wakienda kushangilia uto mtakuja tena kusema tumeona wachezaji wa simba wanashangilia goli la mchezaji wa yanga.
Uwezo mdogo mno wa kufikiri au tuite ufinyu wa akili.
Tushafuzu,tumepewa Hela,tumekulaTusisahau Aziz Ki pia kaanza leo na BF kagongwa 3-1
Kwani kuna ubaya gani inonga akitetema?Kwani ukikiri kuwa Inonga katetema,unapungukiwa na nini!?
Ametuachia watz tufuzuUsimsahau aucho nae kala chuma mbili
Mpongeze Mayele sasa Kwa ule mshuti kama wa Kibu DKwani kuna ubaya gani inonga akitetema?
Hivi Inonga vipi?Uwanja mzima Wacongo wanatetema Kimayele Mayele.
Huyu Mayele ameshindikana ni Halaand mtupu.
Shida ukishakuwa utopolo hata akili za kuombea maji unakosa. Jibu swali kuna ubaya gani inonga akitetema na mayele?Mpongeze Mayele sasa Kwa ule mshuti kama wa Kibu D
Jibu mwenyewe,Shida ukishakuwa utopolo hata akili za kuombea maji unakosa. Jibu swali kuna ubaya gani inonga akitetema na mayele?
๐๐๐๐ kwa hiyo hujui hata unafurahia nini? ndo maana nchi inauzwa kwa sababu ya watu wa aina yako maana uwezo ni kiduchuuuu๐๐Jibu mwenyewe,
Wakikuuza na wewe itkuwa poa sana,kikubwa wanipe mgao wa mauzo yako๐๐๐๐ kwa hiyo hujui hata unafurahia nini? ndo maana nchi inauzwa kwa sababu ya watu wa aina yako maana uwezo ni kiduchuuuu๐๐
Nimefurahiii umejaa kwenye mfumo๐.Wakikuuza na wewe itkuwa poa sana,kikubwa wanipe mgao wa mauzo yako