Labda mabao ya nyeto.Goooaaaaaallllll
Simba wanapiga goli la 5
MangunguLeo alaumiwe nani?
maombi yako yatasikika na iwe hivyoMi ni simba ila naomba hii mechi tupigwe tu
Refa wenu huyo wa mchongo...majini FCIli mradi refa ni Jonesia Rukya msiwe na wasiwasi atafanya jambo uyo ni sawa na Tatu Malogo.
TFF wanafumbia macho sana hili swalahii tabia ya kupoteza muda hizi timu ndogo inakera sana