FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

Wachezaji wanavyocheza kwenye clubs zao ni tofauti sana na wanavyocheza hapa.

Labda tatizo ni kocha sijui, ila inafikirisha sana. Mzize wa Yanga, Fei toto wa Azam ni watu tofauti kabisa.

Tusubiri muujiza
Shida wanazungukwa na wachezaji gani. Tazama yanga pale mbele, hata ukiwekwa wewe utatisha.
 
Back
Top Bottom