Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Mohamed Hussein kapoa na yeyeMwamnyeto kidogo asababishe tuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mohamed Hussein kapoa na yeyeMwamnyeto kidogo asababishe tuta
Mtu anafika mpaka kwenye 18 hajui ampasie nani ila wakiwa Yanga na azam aah wanakimbiaga kama viberengeShida mamii sio washambuliaji wetu tatizo hatuna kiungo wa kuwaunganisha kwa kutoa huduma ya pasi na ndio maana washambuliaji wanaonekana useless mipira haifiki mbele mabeki wetu wa pembeni wapandishi team
Atoke hamna kitu.Waziri Junior no experience
Hata hao mawinga wenyewe hakuna kitu wanachofanyaMawinga wanafanya kazi gani?
Daah 💔💔Hata hao mawinga wenyewe hakuna kitu wanachofanya
Naona UzoefuMtu anafika mpaka kwenye 18 hajui ampasie nani ila wakiwa Yanga na azam aah wanakimbiaga kama viberenge
Kama wakawaida tuwafunge japo goli 1 tu mkuuHawa Guinea nao wakawaida Sana.
Kocha mwenyewe amechemka, hana wachezaji wa kufanya hayo mabadilikoHalf time kocha afanye marekebisho tupate matokeo aise
Kama wakawaida tuwafunge japo goli 1 tu mkuu
kabisaLolote baya liwakute staz, wapigwe wapigike...
Kushindwa kwa staz ni kushindwa kwa CCM.